Safari njema boss lady
Kuna zawadi yako kwa mjibu wa maelekezo ya mkuu 9.8ms squaredAmen mkuu shukrani!




!! Habari za asubuhi bosi wangu!! On my way to mwanza kuna dharura bosii
Mmmmmh
Uwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141
Thanks sweetheart!!Safari njema boss lady
Mbona sasa ntakonda kwa kukosa mapochopochoThanks sweetheart!!
Pole kwa kuugua !!!Wakuu.
Japo hatujuani lakini tunaishi kama ndugu. Na hakuna kitu cha thamani kama kuombewa na kutakiwa mema na mtu usiyemfahamu. Maombi ya aina hii huwa na nguvu sana kwa sababu huwa ni maombi ya kweli yasiyo na ajenda wala mawaa.
Napenda nichukue nafasi hii kuwashukuru wote mlioniombea na kunitakia mema; na uponaji wa haraka. Japo Covid hii (tena Delta mwenyewe) ilinijia kwa nguvu sana lakini kwa maombi yenu na upendo wa Mungu nimepona. Bado tu kakikohozi ka mbali lakini hata nikikimbia kifua hakiwaki moto kama hapo kabla...na viuchovu uchovu tu vya hapa na pale. Kwa jina la Yesu naamini kuwa nimeshapona
Sikuweza kumjibu mmoja mmoja lakini kwa umoja wenu napenda sana kuwashukuru mno 9.8ms squared, Heaven Sent, mahondaw, Makiwendo, Saint Anne, T 1990 ELY, Tinsley, Gregory 2000, Karma, Kashaija72, Chakorii na mawardat.
Asanteni sana wapendwa na Mungu Awalinde na kuwabariki sana. Hapa nilipo ni kama naishi peke yangu lakini kupitia kwenu nilijiona kama nina jeshi kubwa la watu wanaoniombea na kunitakia mema.
Hebu Mungu Akatubariki sote na mwaka huu mpya ulioanza ukawe wa mibaraka tele; na kila mmoja wetu akaweze kutimiza ndoto zake na malengo aliyojiwekea.
Nawashukuru sana
View attachment 2075249
Ufike salama ndugu yanguNdio rafiki naenda jiji lenye miamba yake!
.Binamu mamboo!Pole sana aisee
Safiri salama
Asante Wii!Safiri salama
Dar!Ufike salama ndugu yangu.
From where to mwanza
Acha kunichongea basi na miguu yako hiyo kama midfielder wa Simba Queens!!![]()




Nikirudi ntakompaset sweetheart ntakulisha mapochopocho dabo dabo!!! Nshakumis hapaMbona sasa ntakonda kwa kukosa mapochopocho

Yaaan bora jana nisingeliendaa kule...Nilirudi ntakompaset sweetheart ntakulisha mapochopocho dabo dabo!!! Nshakumis hapa 💋
💋💋💋🤸🤸🤸🤸🤸! 🤩🤩🤩Mmmmmh
Pole sana...Uwiii !!!
View attachment 2072135
Kumbe mziki wa Covid sio wa kitoto aisee. Juzi usiku nilifikiri this is it. I am done on this planet lakini Mungu si Athumani aisee jua likachomoza salama
Ulikuwa ni mwendo wa ku-monitor presha, kiwango cha Oksijeni na joto la mwili - indicators 3 za muhimu sana kwa mgonjwa wa Covid.
View attachment 2072137
Mwili bado haujakaa sawa 100% ila ni mwendo wa malimau na tangawizi kwa sana. Nimeweza hata kwenda jogging leo. Mungu ni mwema aisee...Maisha...Uhai!
View attachment 2072141