Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Acha kunichongea basi na miguu yako hiyo kama midfielder wa Simba Queens!!Hana heshima huyo![]()















Acha kunichongea basi na miguu yako hiyo kama midfielder wa Simba Queens!!Hana heshima huyo![]()















Amen 🙏!Wakuu.
Japo hatujuani lakini tunaishi kama ndugu. Na hakuna kitu cha thamani kama kuombewa na kutakiwa mema na mtu usiyemfahamu. Maombi ya aina hii huwa na nguvu sana kwa sababu huwa ni maombi ya kweli yasiyo na ajenda wala mawaa.
Napenda nichukue nafasi hii kuwashukuru wote mlioniombea na kunitakia mema; na uponaji wa haraka. Japo Covid hii (tena Delta mwenyewe) ilinijia kwa nguvu sana lakini kwa maombi yenu na upendo wa Mungu nimepona. Bado tu kakikohozi ka mbali lakini hata nikikimbia kifua hakiwaki moto kama hapo kabla...na viuchovu uchovu tu vya hapa na pale. Kwa jina la Yesu naamini kuwa nimeshapona
Sikuweza kumjibu mmoja mmoja lakini kwa umoja wenu napenda sana kuwashukuru mno 9.8ms squared, Heaven Sent, mahondaw, Makiwendo, Saint Anne, T 1990 ELY, Tinsley, Gregory 2000, Karma, Kashaija72, Chakorii na mawardat.
Asante sana wapendwa na Mungu Awalinde na kuwabariki sana. Hapa nilipo ni kama naishi peke yangu lakini kupitia kwenu nilijiona kama nina jeshi kubwa la watu wanaoniombea na kunitakia mema.
Hebu Mungu Akatubariki sote na mwaka huu mpya ulioanza ukawe wa mibaraka tele; na kila mmoja wetu akaweze kutimiza ndoto zake na malengo aliyojiwekea.
Nawashukuru sana
View attachment 2075249
Jana uliniambia nilale utaselfika. Uliselfika ukafuta au bado? Gauni letu la kitenge bado tu? Boss lady bana!Amen!
Pole sana. Tunamshukuru Bwana Yesu kwa kukuponyaWakuu.
Japo hatujuani lakini tunaishi kama ndugu. Na hakuna kitu cha thamani kama kuombewa na kutakiwa mema na mtu usiyemfahamu. Maombi ya aina hii huwa na nguvu sana kwa sababu huwa ni maombi ya kweli yasiyo na ajenda wala mawaa.
Napenda nichukue nafasi hii kuwashukuru wote mlioniombea na kunitakia mema; na uponaji wa haraka. Japo Covid hii (tena Delta mwenyewe) ilinijia kwa nguvu sana lakini kwa maombi yenu na upendo wa Mungu nimepona. Bado tu kakikohozi ka mbali lakini hata nikikimbia kifua hakiwaki moto kama hapo kabla...na viuchovu uchovu tu vya hapa na pale. Kwa jina la Yesu naamini kuwa nimeshapona
Sikuweza kumjibu mmoja mmoja lakini kwa umoja wenu napenda sana kuwashukuru mno 9.8ms squared, Heaven Sent, mahondaw, Makiwendo, Saint Anne, T 1990 ELY, Tinsley, Gregory 2000, Karma, Kashaija72, Chakorii na mawardat.
Asanteni sana wapendwa na Mungu Awalinde na kuwabariki sana. Hapa nilipo ni kama naishi peke yangu lakini kupitia kwenu nilijiona kama nina jeshi kubwa la watu wanaoniombea na kunitakia mema.
Hebu Mungu Akatubariki sote na mwaka huu mpya ulioanza ukawe wa mibaraka tele; na kila mmoja wetu akaweze kutimiza ndoto zake na malengo aliyojiwekea.
Nawashukuru sana
View attachment 2075249
Nimefanya nini jamani


Hii miguu jinsi ilivyojaa inaonesha juu huko imebeba shughuli pevuu!!Chukua miguu yako Valentina View attachment 2072621


















Tunaojua kukoleza hii tupo 6 tu Tanzania nzima, mmoja wapo mimi















Amen Mungu AkubarikiWakuu.
Japo hatujuani lakini tunaishi kama ndugu. Na hakuna kitu cha thamani kama kuombewa na kutakiwa mema na mtu usiyemfahamu. Maombi ya aina hii huwa na nguvu sana kwa sababu huwa ni maombi ya kweli yasiyo na ajenda wala mawaa.
Napenda nichukue nafasi hii kuwashukuru wote mlioniombea na kunitakia mema; na uponaji wa haraka. Japo Covid hii (tena Delta mwenyewe) ilinijia kwa nguvu sana lakini kwa maombi yenu na upendo wa Mungu nimepona. Bado tu kakikohozi ka mbali lakini hata nikikimbia kifua hakiwaki moto kama hapo kabla...na viuchovu uchovu tu vya hapa na pale. Kwa jina la Yesu naamini kuwa nimeshapona
Sikuweza kumjibu mmoja mmoja lakini kwa umoja wenu napenda sana kuwashukuru mno 9.8ms squared, Heaven Sent, mahondaw, Makiwendo, Saint Anne, T 1990 ELY, Tinsley, Gregory 2000, Karma, Kashaija72, Chakorii na mawardat.
Asanteni sana wapendwa na Mungu Awalinde na kuwabariki sana. Hapa nilipo ni kama naishi peke yangu lakini kupitia kwenu nilijiona kama nina jeshi kubwa la watu wanaoniombea na kunitakia mema.
Hebu Mungu Akatubariki sote na mwaka huu mpya ulioanza ukawe wa mibaraka tele; na kila mmoja wetu akaweze kutimiza ndoto zake na malengo aliyojiwekea.
Nawashukuru sana
View attachment 2075249




Huu ni unyumbu sio uanaume masta!Si haki sawa jamani au??
Lazima wife atoe go ahead na huo ndio uanaume.
Oya jamaa manzi yako kaagiza speed boat huku andaa hio million 30 kabisa😅😅😅Ukifika kiwanja flani hivi, agiza chochote alafu waambie nitalipaaa 😊😊😊
Hao hawajitambui. Take it from me.Haha i thought kwenu you guys uanaume ni kufanya vile unataka, bila kujali wife atajisikiaje! Ndiyo maana nashangaa hayo ya kumuomba ruhusa wife yameanza lini maana mie siku zote najuaga wanaume wa kiafrika huwa mpo huru tu na hampangiwi lolote haijalishi mmeoa au hamjaoa, no?
Sad story!!!TANZIA
Binti wa Dr Ibrick Pim ameuawa na kuzikwa kwa siri inasadikiwa na binti yake
Ajaonekana kwa muda mrefu ndio leo kaburi lake linafukuliwa
Marehemu aliwahi kufanya kazi KCMC kabla ya kustaafu
Huyu nurse alitoweka tokea December 2021 tarehe 24/12 ndipo binti yake Wendy alipokamatwa na Police leo ndio kaonyesha alipomzika mama yao kwenye shamba lake pacha yake Wendy nae hajulikani alipo maelezo ya Wendy ni alikwenda IndiaView attachment 2075267View attachment 2075268
ujue mie nipo serious, unaleta utani🤣🤣🤣🤣🤣!! Nipe ratiba!!
Hilo halina mjadala kabisa Na hicho ndicho kitu changu kikubwa sana cha mwishoLazima upite Lamadi kwa kweli![]()
Wivu utakuuwa master 🤣🤣alivyokua anamquote yule jamaa nilikua nakerekakumbe ulikua wivu....naona sasa hivi namuona fresh tuu