Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Kumbe moro kuna 8 8?Hivi kuna mkoa mwingine wenye nane nane zaidi ya Morogoro?
Haha na wapo humu humu jf? Hao hawafai kabisa asee!
Basi kumbe ni mimi tu ndiyo nimekosa hiyo bahatiDaah wapo wengi tu


Hapa hapa Africa. Najaribu kwenda AFCON kama wife atakubali. UniombeeWapi hiyo mwanangu? Mido isti au?
Huaminiki😂😂😂Unanikata vibe![]()
Kamsalimie mwamba SalahHapa hapa Africa. Najaribu kwenda AFCON kama wife atakubali. Uniombee
Safii 🕊️🕊️🕊️
Saint vitenge
Sauti ni 😋😋😋 inamshusha Roho kabisaaa.. na mie yani.. inabidi siku mona tukajifiche mahala tuimbe tuuu
Hakuna tofauti na kutuma nauli na kusubiria mtoto aje lakini hatokei..Hahahahahahaha
Mkuu umewekwa maboya???
Bahati yako ipo nkamu, relaxBasi kumbe ni mimi tu ndiyo nimekosa hiyo bahati![]()