Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tobaa
Mungu wangu
Screenshot_20211227-190542_Chrome.jpg
 
Vipi hali

Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
Pole.
Mwenyezi Mungu akujaalie moyo wa subira.
Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea.
 
Back
Top Bottom