Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Tobaa
Mungu wangu

Mungu wangu

Ona kama hii comment ,mmeambizana mnilime na dislike zenu








Wakimpaga kitu cha kikaburu drostdy hof nishtue nimnyang'anye nikaitupe mwenyewe 🤣🤣Ailete chap niiombee😂
Hahaha nina Dawa nzuri kilingenuView attachment 2059607
Hivi jamani mnawezaje kutunza fedha??
Maana mimi nikizipata huwa naskia harufu ya mishkaki na kuku sekela inanukia kila sehemu!![]()
Pole😆
Leo nimechezea dislikes zako hadi najihisi kizunguzungu.
Wazo zuriMimi naona angetafutwa mhusika au mtu anayefahamiana naye ..iwekwe namba hapa watu watatuma huko na kusiwepo na haja ya kutangazana.

Pole.Vipi hali
Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo
Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii
Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu
Location MBINGA lusonga.
Saint Anne.
Sasa hii naipeleka wapi?Pole
Ntakununulia Klymax.
Hii ni non-alcoholic wine

Nipo ostadhSaint Anne.
Upo best
Doctor umepona kweli? Mbona gari inatembelea rim badala ya tyres? 🙄
Ona sasaWakimpaga kitu cha kikaburu drostdy hof nishtue nimnyang'anye nikaitupe mwenyewe![]()


Marahabaa hujambo.Nipo ostadh
Shkamoo.
Heri ya christmas kwako.

Sasa wewe badala unialike kiumeni hapo temeke umeniacha tu kweli Moud.Marahabaa hujambo.
Nilisubiri mwaliko wa Krismass nikaona umenisahau.
Nakukumbusha mwaka mpya usiniache.![]()