Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tobaa[emoji38]
Mungu wangu[emoji2356]
Screenshot_20211227-190542_Chrome.jpg
 
View attachment 2059607
Hivi jamani mnawezaje kutunza fedha?? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Maana mimi nikizipata huwa naskia harufu ya mishkaki na kuku sekela inanukia kila sehemu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
Hahaha nina Dawa nzuri kilingenu
 
Vipi hali

Ahsanteni[emoji120],baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii[emoji24][emoji24][emoji120]

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
Pole.
Mwenyezi Mungu akujaalie moyo wa subira.
Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea.
 
Back
Top Bottom