reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Hahaaaa!!!kemea kabisaaHata hapa ninayo..nimenunuliwa.
Mwenyewe nataka nimrudishie.
Hahaaaa!!!kemea kabisaaHata hapa ninayo..nimenunuliwa.
Mwenyewe nataka nimrudishie.
Kizuuri
Haha uniongezee au sio! Poapoa ntakutafuta Mkuu!Kamaa upo Dar nitafute nikupe kitenge cha kushona!![]()
Kwanini mkuu?
Duhh!!!
Inategemea na fundi,kuna wasojua kukata hao wanaharibu vitambaa sana!Haha pande 2 hazitoshi solo??? Mimi nashona solo kama zilivo hapo sema nataka upande mmoja ubaki nijifunge tu! Sasa sijui kitatosha!!!!!??
Haya bana mkuu, thank youHahaaaaaa sijamaanisha hapo Kati, namaanisha behind pako perfect plus Kashape ka kumaintain Chaga.
Nawaza kama kitatosha kisipotosha najilipua chotee!!Duhh!!!
Yani ndo nawaza hapa Kuna mmoja aliniharibia nguo yangu sina hamu nae yule fundi!! Kitambaa kilikua kizuriii afu cha bei nikamuhama mpaka leo hanisalimii haha!Inategemea na fundi,kuna wasojua kukata hao wanaharibu vitambaa sana!
Mama Mchungaji; nimekosa nini tena jamani?Nimekumaindi kichizi



Ya welcomeHaya bana mkuu, thank you
This is the true definition of boxing day, how i wish😘
Mshono mwingine huu hapa boss ladyHaha uniongezee au sio! Poapoa ntakutafuta Mkuu!



🤩🤩🤩🥰🥰This is the true definition of boxing day, how i wish😘
Boxing day ni siku ya kufanya nini soulimeti? Mimi nafikiri ni siku ya masumbwi ama?This is the true definition of boxing day, how i wish![]()



Asante sana msukuma! Tupia tupia mingine tuichukue !!
Mzee wapi hio mbona hatustuani?Mambo ya uswazi
View attachment 2058528
Milioni moja+ hapa boss lady. Bosi yuko vizuri aisee. Hongera sana!
Usiombe ukutane na fundi Jose au fundi jumaa!utatamani kulia!ilinitokea hyo jioni harusi!!!Yani ndo nawaza hapa Kuna mmoja aliniharibia nguo yangu sina hamu nae yule fundi!! Kitambaa kilikua kizuriii afu cha bei nikamuhama mpaka leo hanisalimii haha!



yaani sisahau nilitoa chozii!