Nipotee!?Asante Moud.
Nitakuja,usipotee sasa hewani.


2021 uishe tuNipotee!?
Njoo, jiandae kwa shangwe la mwaka mpya
Si unajua 2021 ulikuwa mchungu

Lazima tufike mahali tuaminiane.Saasawa mama mtumishi.
Wadau wanashauri huyo jamaa asiwe na tabia kama za yule kijana anavaa shati la mikono mirefu la rangi ya majani majani.
Ulimpoteza mzazi2021 uishe tu![]()
,na mwenzetu naye ameshapoteza
.
.
Acha tu mwaka huu natamani hata ningeufuta kwenye list ya miaka.Ulimpoteza mzazi,na mwenzetu naye ameshapoteza
.
Tulipoteza viongozi.
Hatujui Mwenyezi Mungu ametuandalia nini mwaka ujuo.![]()



Aiseeee,namna kale katoto kamelala pale ☺️

Huwezi kuufuta maana umeshakuandikia historiaAcha tu mwaka huu natamani hata ningeufuta kwenye list ya miaka.
Tujiandae kuupokea mwaka mpya![]()
Wali na supuPamoja na changamoto zote zinazotukabili,tusisahau kulaView attachment 2059842

History mbayaHuwezi kuufuta maana umeshakuandikia historia
.



Congratulations mkuu. Jr. yuko vizuri...as for me I need a son so bad


Mmoja au mapachaCongratulations mkuu. Jr. yuko vizuri...as for me I need a son so bad![]()
Hapana baba mtumishi hutakiwi kugusa hivyo vitu vya waliokengeuka, vitakutolea upako.Wakimpaga kitu cha kikaburu drostdy hof nishtue nimnyang'anye nikaitupe mwenyewe 🤣🤣
Nipo hapa Temboni stand kabisaa naisubiriUko wapi nikuletee?
Hakika Lenie una akili sana.Hapana baba mtumishi hutakiwi kugusa hivyo vitu vya waliokengeuka, vitakutolea upako.
Akipata hyo itabidi anipe nione naifanyaje![]()
Sawa,NaletaNipo hapa Temboni stand kabisaa naisubiri
