Ni kushukuru hata kwa kupewa kilichopatikana msukuma nyie wanaume hamjuagi vya maua kiviiilee!!!!! kwangu ni bora kidogo / Cha kawaida ila chenye furaha na amani...kuliko kinyume chake. Halafu kamwe katika maisha usijilinganishe..
Hope umeamka salama!


Pole sana mpendwa kwa kufiwa na BABA yako mzaziinnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()
Namna ya kutoa ni ipi mkuu?Ni nani yupo karibu na mfiwa aratibu hili zoezi? Au tuanzie hapa hapa?
1. Mshana Jr 10000
2.
3.
4.
2. T 1990 ELY 10000Ni nani yupo karibu na mfiwa aratibu hili zoezi? Au tuanzie hapa hapa?
1. Mshana Jr 10000
2.
3.
4.
Mimi naona angetafutwa mhusika au mtu anayefahamiana naye ..iwekwe namba hapa watu watatuma huko na kusiwepo na haja ya kutangazana.Namna ya kutoa ni ipi mkuu?
Wazo zuriMimi naona angetafutwa mhusika au mtu anayefahamiana naye ..iwekwe namba hapa watu watatuma huko.
Itakuwa vizuri ukilisimamia hili zoezi kama una namba yake. Tunakutumia wewe halafu unamtumia mhusika kwa mkupuo.Wazo zuri
Ngoja niongee nae then nitawapa mrejesho
Kwema lakini mpendwa
Ni wazo zuri mkuuItakuwa vizuri ukilisimamia hili zoezi kama una namba yake. Tunakutumia wewe halafu unamtumia mhusika kwa mkupuo.
nilitaka nikuseme kidogo PM..kwa nini wauliza?!!
Iweke namba hapa watu watume.Ni wazo zuri mkuu
Mhusika nimeongea nae katuma namba ya kutuma/kutoa rambirambi zetu
ndio turudianeTena ex wa primaryunataka turudiane?
tuoane tuzae watoto tuwe na familia


pole sanainnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()
Poleni sana! May he rest well!innalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()