Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
☺Natural beauty within
☺Natural beauty within
Pole sana dear, R.I.P Babainnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji120]
Hahaaa!mi muislam bwana...[emoji28][emoji28][emoji1][emoji1]nilitaka nikuseme kidogo PM..
Inna lillahi..kumuombea dua na Awe na kauli thabeet!Vipi hali
Ahsanteni[emoji120],baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo
Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii[emoji24][emoji24][emoji120]
Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu
Location MBINGA lusonga.
Pole sana mpenzi, kaza moyoinnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji120]
Kwa rambirambi na watakaoweza kufika msibani Mungu awabarikiJamani kama group la Selfika tunafanyaje kuhusu msiba baba wa mwenzetu? Naombeni maoni yenu
![]()
Pole sanainnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji120]
Ewaaa, Lenie una special seat mbinguniIla msikilize na umtii maana ndio kichwa cha nyumba huyo😅
Amen to that Baba Mtumishi😊Ewaaa, Lenie una special seat mbinguni
haya kwahyo nikuseme hapahapa au utakuja/ntakuja PM baadae!?Hahaaa!mi muislam bwana...[emoji28][emoji28][emoji1][emoji1]
Vyovyote vile!haya kwahyo nikuseme hapahapa au utakuja/ntakuja PM baadae!?
Watu na miili yenu!
haya sawa..Vyovyote vile!