Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
☺Natural beauty within
☺Natural beauty within
Pole sana dear, R.I.P Babainnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()
Inna lillahi..kumuombea dua na Awe na kauli thabeet!Vipi hali
Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo
Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii
Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu
Location MBINGA lusonga.
Pole sana mpenzi, kaza moyoinnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()
Kwa rambirambi na watakaoweza kufika msibani Mungu awabarikiJamani kama group la Selfika tunafanyaje kuhusu msiba baba wa mwenzetu? Naombeni maoni yenu
![]()
Pole sanainnalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()
Ewaaa, Lenie una special seat mbinguniIla msikilize na umtii maana ndio kichwa cha nyumba huyo😅
Amen to that Baba Mtumishi😊Ewaaa, Lenie una special seat mbinguni
haya kwahyo nikuseme hapahapa au utakuja/ntakuja PM baadae!?Hahaaa!mi muislam bwana...![]()
Vyovyote vile!haya kwahyo nikuseme hapahapa au utakuja/ntakuja PM baadae!?
Watu na miili yenu!
haya sawa..Vyovyote vile!