Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji13][emoji23]
Kuna mtu nilijua tu atanilima dislikes[emoji1787]
Screenshot_20211227-134135_Chrome.jpg
Screenshot_20211227-134157_Chrome.jpg

Pep Mungu anakuona
 
Vipi hali

Ahsanteni[emoji120],baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii[emoji24][emoji24][emoji120]

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]pole sana
 
Vipi hali

Ahsanteni[emoji120],baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii[emoji24][emoji24][emoji120]

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
Pole sana.
Apumzike kwa amani baba yetu.

Ni kipindi kigumu lakini Mungu ni mwaminifu sana utavuka.
 
Vipi hali

Ahsanteni[emoji120],baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii[emoji24][emoji24][emoji120]

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
Pole sana dear kwa kuondokewa na Baba, Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu🙏
 
Back
Top Bottom