Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
If only....🥴🥴Watu na miili yenu
Unisapoti sasa kama tulivyoongeaAmen to that Baba Mtumishi![]()
Kumbe huyo ni wewe?If only....![]()
Vipi hali
Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo
Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii
Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu
Location MBINGA lusonga.


pole sana
Kwani hicho kitufye kiko siku hizi?
Kuna mtu nilijua tu atanilima dislikesView attachment 2059400View attachment 2059402
Pep Mungu anakuona
Kipo kwa wasiotumia jf App..yaani kwa wale wa Chrome na browser.Kwani hicho kitufye kiko siku hizi?
Pole sana.Vipi hali
Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo
Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii
Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu
Location MBINGA lusonga.
Akhsante sana nimeona mkuuCheck ujumbe kwenye mpesa
innalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()
innalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()
Nimeona hizo dislike nimechekaa, mwambie baba mtumishi tulikua tunatania tu😂Unisapoti sasa kama tulivyoongea
Pole sana dear kwa kuondokewa na Baba, Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu🙏Vipi hali
Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo
Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii
Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu
Location MBINGA lusonga.
Bana sms tu ingetosha hayo ndio mambo yangu mzee
Amenilima za kutoshaNimeona hizo dislike nimechekaa, mwambie baba mtumishi tulikua tunatania tu![]()

Nimepata kiu ya ghafla😋Amenilima za kutosha
Unisaidie sasa kuomba ruhusa ya kunywa...tayari nina kinywaji mkononi.View attachment 2059446
Nimepata kiu ya ghafla
Kunywa tu kama kitu unayo mkononi, akiuliza tutamsingizia shetani ataelewa tu


