Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Kuna mtu nilijua tu atanilima dislikes
Screenshot_20211227-134135_Chrome.jpg
Screenshot_20211227-134157_Chrome.jpg

Pep Mungu anakuona
 
Vipi hali

Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
pole sana
 
Vipi hali

Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
Pole sana.
Apumzike kwa amani baba yetu.

Ni kipindi kigumu lakini Mungu ni mwaminifu sana utavuka.
 
Vipi hali

Ahsanteni,baba alifariki jana jioni ya saa moja,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu,hivyo juzi,jana alikuwa vizuri tu hali ilibadilika jana jioni na ikatokea hivyo

Nashukuru hivyo wameshaenda kuzika mida hii

Mambo mengine Elly ndiye MTU wangu was karibu

Location MBINGA lusonga.
Pole sana dear kwa kuondokewa na Baba, Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu🙏
 
Back
Top Bottom