Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,636
Hii ndio yenyewe mzee
Hii ndio yenyewe mzee
Hio hamna kitu humoAmenilima za kutosha
Unisaidie sasa kuomba ruhusa ya kunywa...tayari nina kinywaji mkononi.View attachment 2059446
Extrovert kupata kinywaji ni jambo moja,kukifungua na kukinywa ni jambo jingine.
😁😁😁 😬😬 ni kujiramba tu midomoHii ndio yenyewe mzee
Unasema hamna kitu wakati hata kuifungua nimeshindwa,natafuta wa kumtupia huu mzigo😂Hio hamna kitu humo
Kama kawaida yako wa kishua😁😁😁 😬😬 ni kujiramba tu midomo
Tayari nina kinywaji mkononi baba mtumishi,Ewaaa, Lenie una special seat mbinguni

Kinaitwaje hiko kinywaji?Tayari nina kinywaji mkononi baba mtumishi,
Kilichobaki ni ruhusa yako tu![]()
Kinaitwaje hiko kinywaji?
Nisiwashe moto bure kumbe kinywaji chenyewe ni hiki apa
View attachment 2059471

.😋😋😋😋Kama kawaida yako wa kishua
Nigawie basi nyama hizo wa kishua😋😋😋😋
Aisee daah
Hiki hapa baba,sitanii.
Jana boxing day,katika kufungua boss nikapewa.
Ruhusa yako itanifanya nifungue ama nigawe.View attachment 2059472
Kuna dislike kumbe?!!
Kuna mtu nilijua tu atanilima dislikesView attachment 2059400View attachment 2059402
Pep Mungu anakuona
😬😬😬 nyama imeisha yoteeee🙈🙈🙈🙈Nigawie basi nyama hizo wa kishua
Kweli baba hutaki kabisa nionje??Aisee daah
Kweli walimwengu hawanitakii mema na pisi yangu
Ina alcohol ya 8% hiyo. Mkabidhi mtumishi mwenzetu Lenie

Wanywaji hawana kelele dogooo



haijabaki hata kiduchu, maana taaamuu kweli kweliWee
Na wewe ni mchoyo kumbe!