T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,086
Ninunulie nyingine basi wakishua🤗haijabaki hata kiduchu, maana taaamuu kweli kweli
😬😬😬 Mchinjaji hayupo hadi mwakani, labda njoo cate hotel asa hivi upate kahawaNinunulie nyingine basi wakishua🤗
Dah wakishua unazingua😒😬😬😬 Mchinjaji hayupo hadi mwakani, labda njoo cate hotel asa hivi upate kahawa
Ewaaa, si ndo maana nakupendaga sasa
Yaani nimeshindwa kabisa kufungua hiyo pombe,,umekuwa mtihani mgumu mno kwangu..hadi nimetafuta mtu wa kumgawia.
Sasa mbona haunipi jibu la ruhusaEwaaa, si ndo maana nakupendaga sasa

haaa kuna mvua huko dar es salaam 🙄🙄🙄Dah wakishua unazingua😒
Mimi cate nakujaje na mvua hii,,nauli hadi cate si ni kuku mzima huyo nakula🤗
😆Mama mtumishi hanywi pombe tafadhali
Uko wapi nikuletee?Ailete chap niiombee![]()
Wee!hahahaZipo
Ila siyo kwenye App
Bahati yako situmii browser!
Leo nimechezea dislikes zako hadi najihisi kizunguzungu.
Pole sana mawardat, nimechelewa kuiona hii post!innalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER![]()



Mimi huwa natumia chrome kuangalia notifications then narudi kwenye App.Wee!hahaha
KhaaBahati yako situmii browser!

.
.