Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Noma sana, 😂😂Hahahahah unakaa tako moja😅
Noma sana, 😂😂Hahahahah unakaa tako moja😅
Jamani nawakumbusha Eid haiko mbali..msije mkasema tu sisi ni fake friends...![]()





Usafiri si upo wasiwasi wako nn mrembo?Nikufate ili nizimie huko?
Siwezi!
Nacheza maeneo ya home tu.
Asante sana, Makiwendo
Hilo wanasema paka kisamvu kifunge na plasta kesho ukibandua kimeumanaNoma sana, 😂😂
Shida nipo alone, namuita Saint Anne aje atoe msaada hataki.... kanitenga kabisaaHilo wanasema paka kisamvu kifunge na plasta kesho ukibandua kimeumana
Nikayumbe kwenye mwendokasi au siyoUsafiri si upo wasiwasi wako nn mrembo?

Nimelewa kinyama Nipo Taracare..kuna mkaka yupo mbele yangu sijui Kama ntamuacha salama







Makiwendo tafadhali njoo usome ujumbe wako hapa![]()








Hilo tunalitoa kavu bila kupaka chochote.Hilo wanasema paka kisamvu kifunge na plasta kesho ukibandua kimeumana
Ewaaaaa.. mambo yenyewe ndio hayo sasa.. nahitaji huruma kabisaaa 😊😊😊Chaa!
Wewe mgonjwa wa mwendokasi.
Na unavyotia huruma usoni,si nitakuonea huruma.
We tayari ushalewa. Ni wakati mzuri sasa wa kurudi home![]()









Wacha bibi ale zege




wallah mie nimepitwa na vitu vingi. Hadi naambiwa sasa nina tofaut gan na mganga wa kienyeji. 




Nakushusha kwako kabisa, wala huna haja ya mwendokasiNikayumbe kwenye mwendokasi au siyo![]()
Pole sana mzee babajipu limeota ikweta kabisa
![]()







Utaamuua baba paroko😅Hilo tunalitoa kavu bila kupaka chochote.
Njoo nikufundishe kula zege dogo





wee thubutuu, bas wanachuo wanazipenda hizo, nawatazama naishia kusonya moyoni. 


Sio kupatwa perse..wengine vichwa vizito hayo mambo ni talentUlipatwa na nini?
hapa kidogo nalipapasa pasa sijui litatumbuka![]()





