cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,291
Asante sana. 😔😔😔Pole sana .
nenda sasa hivi menya kitunguu thomu halafu kiponde ponde upate urojo wa wastani kisha paka kuzunguka jipu lote {uvimbe} zungusha paka vizuri itavuta kidogo ila hakuna shida, acha ikauke hapo kama gundi..Ni jipu, sema la tako huwezi lipiga picha, unaweza kuta tako limepaukaaa 😂😂😂😂 hapa nachart kidogo huku kujipoza maumivu.. hadi nipitiwe na usingiz.. nilikishika hivi bado bado
Jipu kama haliko kwapani basi kwenye mbususu likikosea njia basi kwenye makende au kwenye mataqo kabisa yani jipu kutokea sehemu ya wazi ni nadra sana







Asante sana mkuu.nenda sasa hivi menya kitunguu thomu halafu kiponde ponde upate urojo wa wastani kisha paka kuzunguka jipu lote {uvimbe} zungusha paka vizuri itavuta kidogo ila hakuna shida, acha ikauke hapo kama gundi..
kesho asubuhi utaleta mrejesho hapa usisahau kunitag..
Sio kupatwa perse..wengine vichwa vizito hayo mambo ni talent


hiyo avatar ni wewe?Subiri mwalimu wako anakuletea
Ooh okNiliacha kutumia kilevi na hapa hakuna fresh juice wala mocktail.
Amen🙏Tumwike Bwana fedheha zetu.. hashindwi kutufanyia jambo jipya
Pole kijana mwemaNi jipu, sema la tako huwezi lipiga picha, unaweza kuta tako limepaukaaahapa nachart kidogo huku kujipoza maumivu.. hadi nipitiwe na usingiz.. nilikishika hivi bado bado



Mkuu unataka kumnywesha pombe mtt wa watu usiku huu ili iweje😅View attachment 2055024Njoo uonje hii😅
Bia tamuWeee usimdanganye mwenzio
Mwambie ukweli

Nataka apendeze kidogo😅Mkuu unataka kumnywesha pombe mtt wa watu usiku huu ili iweje😅
Nadhani unaelewa![]()
Bora hata huo ugali upatikane
Utajua hujui
Naanza safari kesho jioni
Kimashuku inanihusu









poa mkuu usikose kufanya hivyo kabla hujalala..Asante sana mkuu.
iv una nn wee, hapa nasubir lect alete Jack Daniel's na Guinness nisuuze macho.


Nakuletea uliponenda sasa hivi menya kitunguu thomu halafu kiponde ponde upate urojo wa wastani kisha paka kuzunguka jipu lote {uvimbe} zungusha paka vizuri itavuta kidogo ila hakuna shida, acha ikauke hapo kama gundi..
kesho asubuhi utaleta mrejesho hapa usisahau kunitag..




unataka mwenzio aanze kuimba mapambio usiku mzima?