cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
hapana nlipoteza passwod na email mmesahau nkajaribu kuwasiliana na mtu wa jf majibu alonipa sina hamu.. Sijui alikua ma stress that day!!
nkafungua ingine








mbavu zangu mie lol.hapana nlipoteza passwod na email mmesahau nkajaribu kuwasiliana na mtu wa jf majibu alonipa sina hamu.. Sijui alikua ma stress that day!!
nkafungua ingine








mbavu zangu mie lol.Ila we mzee dikteta kweli!!Chochea Range lako umfuate huko Kusini. Ulitegemea kweli nimuache wakati usharudi? Hata kule ulikokuwa unaimbisha kwa Kiarabu bado nina wasiwasi nako. Sijui huko nitafanyeje![]()















Haya si mawungu? Tobaaaaah wee mbna had kichefu chefu.View attachment 2046439
Bora nile Ugali maharage mwaka Mzima kuliko mboga hii
They are rich in Proteins![]()



Kwa kweli huo msetoTwalamusha mukamu.
Mwaaghona.
Nilipoo..
Nadhani mengine nimeandika mseto wa lugha![]()

hii imenipita dahHahahhah mdogo wangu leo nimethubutu
Ahhh dogo unayajua mabhunguHaya si mawungu? Tobaaaaah wee mbna had kichefu chefu.![]()




Inasaidia nini hii Mtakatifu Anne? Miaka 22 wala huhitaji haya ma supplement bana!




Sema sipo nyumban, ningekua na mkalimani ningekukimbizaKwa kweli huo mseto
Ngoja nisiandike zaidi maana nitakupoteza.
Kuna mwenzetu anaitwa Hon Nkundwe kidogo anajitahidi.
Umeweza!!🤩😜Hahahhah mdogo wangu leo nimethubutu
JanjarooLil man handling his business....
View attachment 2046545
Ipo juuhii imenipita dah

maeneo ya toroka uje.nakuja maskani kwa bango unapajua?Uko block 41 kwa wapi bro?? Nipo na wana kama 3 hivi bro
Ni kwa ajili ya mwanangu.Inasaidia nini hii Mtakatifu Anne? Miaka 22 wala huhitaji haya ma supplement bana!
Ningewakimbiza wote, wewe pamoja na mkalimani wakoSema sipo nyumban, ningekua na mkalimani ningekukimbiza

hahahaha ok nitaichekIpo juu![]()