Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani shoga yangu huwezi amini comments zote hizi hakuna hata mmoja aliyenitumia screenshot ya hivyo vifurushi, kitu ambacho nilikuwa nakihitaji sana! Thank you for your concern Lizzy, na je vipi kuhusu Speed yake ya mtandao?
Tatizo story nyingi...hata selfie za machale 🥴🥴

Mtandao nadhani inategemea sana na eneo. Mie yangu huwa inashika fresh haswa nikiwa home...nilishawahi kutupia speed yangu huwa inashoot mpaka 2Mbs sometimes nikiwa nadownload! So jaribu kuuliza watu waliopo karibu yako....wasipolalamika get yourself one!!!!!!
 
IMG_20211216_220416.jpg
 
Kwa kawaida mnachagua wenyewe ng'ombe mnaowataka - madume, ndama, majike yenye mimba, yanayonyenyesha n.k.

Usinichongee sana basi kwa ELY jamani. Mdogo wangu yule tumeshibana sana japo wanaume wa Kisukuma huwa hatuaminiani mbele ya mwanamke mlimbwemde!
Sisi tutataka mchanganyiko wote huo...
Halafu ELY na mimi ni mdogo wangu pia Shimba..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom