cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Ndio penyewe unapopafanishaHili eneo km nalifananisha iv.![]()
Ahhh dogo unayajua mabhungu![]()




jaman bas kule kwetu yapo mengi kwenye ile miti ambayo inakua na utovu fulan wekundu, bas yanatanda mti mzima, khaaaaah wee nlikua nasikia yanaliwa, si kule kwetu hatuli haya mawungu. 



Thank you pon pon wangu...😘😘😘Awww
Najua cc angu unanipenda mno tena zaidi ya sana, mie pia nakupenda zaidi. Hiyo zawadi sijaona cc eti, hebu weka tena.
AwwwwHappy birthday shoo! Live Longer dear!![]()


ok.mie huko tarehe 5 ktk mapinduzi cupHahahaaha
Nakuzingua bro. Nipo kianga dole huku ndani ndani hata network ni ya shida
Ndio penyewe unapopafanisha



nimeona picha km 3 ni za maeneo ya karibu na kwangu, naamini wee n lect wa UD. hahahMwenyewe nimekuta hotel fulani Wachina wame order, ndiyo nikaomba kwa watu wa jikoni nikaone.Haya si mawungu? Tobaaaaah wee mbna had kichefu chefu.![]()
Tena na ile nyingne inayopendwa sana, nkanunulie sambusa.Thank you pon pon wangu...
Zawadi baadae kipenzi changu



Yaan mie nimeshtuka, nkajua ndo wee unakula aaah, sikutaka kuamini etiMwenyewe nimekuta hotel fulani Wachina wame order, ndiyo nikaomba kwa watu wa jikoni nikaone.
Kweli kuna watu hawajui Kula vizuri, yaani unaacha nyama zote za Kuku, Mbuzi, Ng'ombe, Kondoo, Kiti, Bata alafu unakwenda kubugia midudu ya ajabu vile![]()



Watu wanakulajaman bas kule kwetu yapo mengi kwenye ile miti ambayo inakua na utovu fulan wekundu, bas yanatanda mti mzima, khaaaaah wee nlikua nasikia yanaliwa, si kule kwetu hatuli haya mawungu.
Khaaaah watu wana moyo kwa kweli, mie hata kuona naogopa.
Nilikwambia mimi unachat na walimu wako humu na unawaita 'nyoko'nimeona picha km 3 ni za maeneo ya karibu na kwangu, naamini wee n lect wa UD. hahah






Nimeelewa stendi ya magufuli tuu..
Inaonekana uko deep sana na ndaliism. Ngoja Mbughi ajifue kwanza.

Bado Heaven Sent. Sijui mpaka tufanyeje. Imagine mpaka Mkwepu kaselfika ila Heaven Sent bado![]()