Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahhh dogo unayajua mabhungu
jaman bas kule kwetu yapo mengi kwenye ile miti ambayo inakua na utovu fulan wekundu, bas yanatanda mti mzima, khaaaaah wee nlikua nasikia yanaliwa, si kule kwetu hatuli haya mawungu.

Khaaaah watu wana moyo kwa kweli, mie hata kuona naogopa.
 
Mwenyewe nimekuta hotel fulani Wachina wame order, ndiyo nikaomba kwa watu wa jikoni nikaone.

Kweli kuna watu hawajui Kula vizuri, yaani unaacha nyama zote za Kuku, Mbuzi, Ng'ombe, Kondoo, Kiti, Bata alafu unakwenda kubugia midudu ya ajabu vile
Yaan mie nimeshtuka, nkajua ndo wee unakula aaah, sikutaka kuamini eti
 
jaman bas kule kwetu yapo mengi kwenye ile miti ambayo inakua na utovu fulan wekundu, bas yanatanda mti mzima, khaaaaah wee nlikua nasikia yanaliwa, si kule kwetu hatuli haya mawungu.

Khaaaah watu wana moyo kwa kweli, mie hata kuona naogopa.
Watu wanakula
 
Back
Top Bottom