Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lil man handling his business....
20211216_195456.jpg
 
Nililisikia
Nimekumbuka nikacheka sana..
He he he...N'tuzu nyie hamueleweki aisee..
Nadhani kigezo cha rangi nilitupwa nje ya shindano..si mnajua ugonjwa wenu SYB

Sent using Jamii Forums mobile app

Ntuzu hatueleweki tena? Kivipi tena jamani? Kigezo cha rangi unakikidhi na zaidi...yaani umekamilika kila idara. Labda kwa vile tu sikuweko huko vinginevyo ungekuwa unapalilia pamba Nyakabindi sasa hivi
 
Ntuzu hatueleweki tena? Kivipi tena jamani? Kigezo cha rangi unakikidhi na zaidi...yaani umekamilika kila idara. Labda kwa vile tu sikuweko huko vinginevyo ungekuwa unapalilia pamba Nyakabindi sasa hivi
He he he....Wacha Bwana..
Inabidi ifanyike namna wakati mwingine uwepo aisee...Wazee wangu wapelekewe zile ng'ombe za Usukumani jamani..

Ikishindikana sana muagize ELY asimamie hilo zoezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom