Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ooh pole ,Mungu ni mwema ...Dah siamini nimetoboa hadi asubuhi
Mungu ni mwema wakati wote
Good morning selfika.
How are you feeling today ?
Ooh pole ,Mungu ni mwema ...Dah siamini nimetoboa hadi asubuhi
Mungu ni mwema wakati wote
Good morning selfika.
Vibaya mno
Ile homa inapita daslam imenipitia na mimi.

Pole aisee.Mi leo imeanza kwa mara ya pili
Ilinitandika last week nikapona, leo imeanza tena
Pole sana
Viungo vinauma mno.Ooh pole ,Mungu ni mwema ...
How are you feeling today ?





Homa hii mbaya sana .Viungo vinauma mno.
Usiku homa ilipanda mno,,nikawa napambana kuishusha..nikahisi nakata roho aisee
![]()
Sio kwa kupasifia huko!!!!😁😁 Ngoja tukajionee wenyewe 🙂
Karibu sana mkoa uliobarikiwa TZ.
Usisahau tu sweta na koti.
Wee kilugha chanini! Kunya anye bata sio ?Wee Fanya kuselfika tu vingine si vya muhimu kuvijua!!Kilugha hiki pelekeni PM sasa...mukazi wange![]()
WakoraPm yanini rafiki ! Wee Fanya kuselfika tu vingine si vya muhimu kuvijua!



Ni Omicron au ni wimbi la homa tu linapita? Mungu na AtusaidieHoma hii mbaya sana .
Ugua pole .


Arghhhh! Kwani siselfiki???!!! haya 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶Wakora![]()
Nani huyo amekupangia cha kuandika?Arghhhh! Mnataka kunipangia cha kuandika selfika sio!!! Kwani siselfiki???!!! haya![]()
Any assistance check billdrago
Fanya uende hospitali na usichukulie poa. Upone haraka!Dah siamini nimetoboa hadi asubuhi
Mungu ni mwema wakati wote
Good morning selfika.
Waendeleaje Dada wa ng'ong'ona?Nkamu leo umetembelea uzi wetu pendwa
Tunaomba uselfike.
Mashallah!Lee
Depal
cocastic
@Callius
Mjep
Relief Mirzska
Valentina
Emiir
Kumekucha huko???View attachment 2047026