Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Njoo mwenyeweNtume bodaboda!!?

Njoo mwenyeweNtume bodaboda!!?

Ndugu zako wa rangi ya mboga mboga watani decode




Mhhh una wivu babe

DahNdo mmefika ngoja niweke kigoda loohh!![]()






Nilikwambia nina kamati ya wenzangu wakosa ajira




Fanya kutupia selfie tukisubiri vocha Raynavero



....!!!nrushie kwanza vocha ya bando!


Eti NkamuFungua mlango Nkamu nashusha huko faster


hufai wewe...Mimi bwana nilfanyaga diet sirudii tena...kwa sasa mwili waja taratibu..maana mwanangu akanambia mama usikonde tena utanifkia Mimi
Siku 1 huwezi ongezeka

!!umekua katoto!!!ekuwekea hapa na nikakutag hujapata tuu??....!!!nrushie kwanza vocha ya bando!
![]()
Karibu..Unaweza kupata hata mojawapo..Ndo mmefika ngoja niweke kigoda loohh!![]()
Hivi kumbe ni huyu mrembo ndo kabadili I'd! We Ray wewe




hapana nlipoteza passwod na email mmesahau nkajaribu kuwasiliana na mtu wa jf majibu alonipa sina hamu.. Sijui alikua ma stress that day!!



nkafungua ingineBasi vutasubira kidogo mzigo utashuka muda si mrefu maana hapa naona mama mchungaji anakuwahi
Mkuu
Mambo gani hayo dada kipenzi hebu nikumbushe tenaNimekumiss zaidi mdogo wangu Kipenzi...
Yale mambo yetu si bado yapo pale pale?
Sent using Jamii Forums mobile app


Ndiyo unabeba zote unapeleka?Tuachie hata moja Dogo...siyo poaNilikwambia nina kamati ya wenzangu wakosa ajira![]()

Bambalanga ukiwa mfupi wanakutoa apo jau




Niko Dom afu sipaju ,jamani mi mvivu mwenzenu kutokaa
sijui nikoje aseehh!