Kwa sababu za mgongano wa kimaslai naomba ku declare interest sitaweka self yangu.
Ila nasema kupitia uzi huu hapa JF kuna pin za kufa mtu, za kila aina nyingine utazigua tu hata kwa kupitia mwandiko. Mabaharia tunakwama wapi kutulia sasa, tukamate vitu hapa tupa ndani kisha tuna retire!