cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Nina chogo hivi afu kusuka najifanya sitaki? Lenie ninaniliu basi ata nianze kusuka kwanini unaniwacha hivi!!View attachment 2036582




Nina chogo hivi afu kusuka najifanya sitaki? Lenie ninaniliu basi ata nianze kusuka kwanini unaniwacha hivi!!View attachment 2036582




Basi bolibo hilo.Sijui hata linaitwaje ila sio dodo, embe dodo this time sijayaonja kabisa.








hivi kitai kuna gereza kumbe? Mie nlijua wafungwa wote wanaswekwa pale mjini karibu na hospital ya mkoa, 



hahahahhaha
Hahaaa mama naye ni changamotoAisee. Afadhali umenifungua macho. Nilikuwa nafikiri huu mchezo anao Jael peke yake...
Na mimi ID hii nimekaa nayo sana. Ni wakati wa kuachana nayo sasa kwa sababu ina baggage kibao
View attachment 2036603




una uhakika ni mtoto wa kike???....cocastic una wenge kinyama yani inaonekana kama una msela hakupelekei moto shazi anakuwashia tu mabua. Nikama vile kipururu kimejaa vichupa shente mpaka umewehuka.
Tuliza wenge mtoto wa kike una kiraru mbaya mbovu mpaka unakata stimu asee.
Upo ??? Bado nakudai...tupieni za usiku
Niwakiume kwani mkuu? Kama ni wakiume basi ni bwabwa.una uhakika ni mtoto wa kike???....
ni wa kiume anayeipenda jinsia ya kike....kaamua awe Gay na yupo proud na hilo....soma comment zote uone anavyonyukana na watuNiwakiume kwani mkuu? Kama ni wakiume basi ni bwabwa.






Oohh nililisahau hilo Don juan, ila hilo Alibakari ndiyo silijui kabisa.
Asee mimi nilidhani ni manzi mwenye kiraru kumbe ni kidume? Asee ni kwirikwichi bablai.ni wa kiume anayeipenda jinsia ya kike....kaamua awe Gay na yupo proud na hilo....soma comment zote uone anavyonyukana na watu![]()
Kitai lipo kubwaaa,wanalimishwa hadi siyo poa.hivi kitai kuna gereza kumbe? Mie nlijua wafungwa wote wanaswekwa pale mjini karibu na hospital ya mkoa,
![]()
Mommah hakika wee ni akili kubwa na uko sawa, labda nikuambie ukweli haya yote unayowaambia wanayajua na yanawaingia vilivyo, ila unafiki wao unawasumbua hapa na hawana Pa kushika.Mkuu mimi toka mwanzo point yangu ilikuwa hapo kwenye kutubu na kusamehewa sasa nashangaa kote huku sijui hata tulifikaje! Point yangu ilikuwa hapo kwamba huo utofauti wa dhambi uko wapi ikiwa baada ya Yesu kufa msalabani wote shoga na mlevi waliahidiwa kuwa wakitubu na kuacha basi wote watasamehewa na kuurithi ufalme wa mbinguni?
Wakati kwenye agano la kale ndiyo kulikuwa na ukubwa wa dhambi na watu waliadhibiwa kutokana na ukubwa wa dhambi zao! Lakini mambo yalibadilika baada ya ujio wa Yesu na kuna sehemu Yesu mwenyewe aliwaambia watu "yeyote ambaye hajawahi tenda dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe" akimtetea mtu aliyetaka kuuliwa kwa kupigwa mawe!
Kwahiyo kidini tunaona kwamba tayari imeshakuwa hivyo kwamba kitendo cha Mungu kusema kwamba eti shoga na jambazi wakitubu watasamehewa na wasipotubu hawasamehewi automatically kinafanya hizo dhambi ziwe sawa kwake hivyo haina haja ya biblia kuelezea tena! Hayo mengine sasa ndiyo tunayajadili sisi kwa utashi wetu!
Kwamba tunapinga ushoga kutokana na madhara haya na haya na tulipohamia kwenye kutumia utashi ndipo na mimi nikaona nijikite zaidi kwenye kukemea dhambi ya uzinzi wewe hukujiuliza kwanini sikujikita kwenye ulevi ama ujambazi? Ni kwa sababu ushoga kwa asilimia kubwa huanzia na hufanyika kwenye mazingira ya uzinzi hilo nilishalielezea kule juu!
Laiti kama watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa basi ushoga usingeenea kwa kiasi hiki kwa sababu haiwezekani wanaume wawili mabikira wafunge ndoa eti ili wakashikishane ukuta hiyo experience wameipata wapi? Kwahiyo hadi hapo bado hujaona tu kuwa uzinzi kwa asilimia kubwa ndiyo hupelekea vijana wengi kujaribu na ushoga pia?
Mimi binafsi sikubaliani kabisa na ushoga na nitaupinga siku zote ila point yangu ni kuwa uzinzi ndiyo umetufikisha hapa tulipo! Haya tukija kwenye suala la maadili mfano tu leo hii wanawake wamefikia hatua wanatupia picha zao mitandaoni wakiwa uchi tena kwa kujiachia kabisa na wanaume na jamii nzima wanafurahia je hayo ni maadili kwa vizazi vyetu?
Je wanaume na wanawake kuzaliana hovyo tu bila ndoa wala utaratibu maalum hadi kupelekea kuwa na wazazi wahuni na watoto wengi wahuni waliokosa malezi bora ya wazazi wote wawili ambao wengi wa watoto hao nao huishia kuwa mashoga je hayo ni maadili? Je hayo yote kwa asilimia kubwa hayasababishwi na uzinzi tukiachilia mbali uyatima mkuu?
ni wa kiume anayeipenda jinsia ya kike....kaamua awe Gay na yupo proud na hilo....soma comment zote uone anavyonyukana na watu![]()




msemaji wangu bhana, vipi Hujambo nini? 







wee mbna sikua najua hili mie.Mdada japokuwa nacheka hapa JF lakini nakuogopa ujueOohh nililisahau hilo Don juan, ila hilo Alibakari ndiyo silijui kabisa.
Mwee fox hound tena, naona umetoka kwenye ubeberu mwitu unataka sasa uhamie kwenye umbwa mwitu inaonekana unapenda sana umwitu mwitu mkuu.



bado hujalala???? Naona mida ya Vijana wa zamani ishatimiaaliyekuepo 255 lounge tuwasiliane..tu selfike kidesemba zaidi...
NB : km hujajipanga kwa disemba jiandae na january