T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Hahahahahaha
Hahahahahaha
Waalaykumu salaamAssalaam
Mie niko poa kabisaumeamkaje binti
hahahaha.... safi ..karibu kijiweniMie niko poa kabisa
Ubarikiwe sana mtumishiNi furaha sana, unaanza shughuli zako na Mungu, na ghafla baada ya ibada yako na Mungu ya alfajiri.. unajikuta hofu yako mbele za Mungu inaongezaka ( imeongezeka) .. ( ghafla kuna aina maisha na aina ya dhambi unakuta unazichukia pindi hofu ya Mungu inapo kuingia kuongezeka), unajikuta sio yule wa jana.. ni rahaa sanaa..
Isaya 11:3
na furaha yake itakuwa katika kumcha BWANA; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;
Heaven Sent Saint Anne
SHIMBA YA BUYENZE
View attachment 2036782
View attachment 2036783
View attachment 2036784
View attachment 2036785
mahondaw zingine hizo.. badae nikisogea mahala pa bundle la chuo nakuweka zingine mkuu



Dūlīmhola nkulugenjiamakuru....bonjour.... good morning ....jambo wote ..selfika
mulamke kwa mlango..mkatumike bien..mupate makuta ( faranga)
Irushe sasa hivi kumekucha...na mada yao ile haipoHaha mlikua wapi na huyo msukuma SHIMBA YA BUYENZE jamani hapakua poa hapa nikaisevu tu itulie. Hapa kulijaa Vijana na mada yao ile



Ahsante
Njaa inauma![]()
Ahsante
Njaa inauma![]()
..hahahaha.. Mimi Niko kwa shayo nazimua hapaAhsante
Njaa inauma![]()
Nimekumbuka ulivyokuwa unaongea,basi nimecheka sina mbavuImebidi nicheke tu![]()




Ungesogea na BMaxlocation ...Boardroom ( sinza mapambano )
lindo.. na..windo...kwa pamoja
Hahahhahahahahaha... umeamkaje rafiki tupia kabla hawajaa vijana wa kisasa
Nakavubu / ni meza, bonjour, morning to you friend! Merci merci...amakuru....bonjour.... good morning ....jambo wote ..selfika
mulamke kwa mlango..mkatumike bien..mupate makuta ( faranga)
"He who runs from God in the morning, will scarcely find Him the rest of the day". Kijana mwema, ukawe na siku yenye baraka tele; Mungu akuonekanie.Ni furaha sana, unaanza shughuli zako na Mungu, na ghafla baada ya ibada yako na Mungu ya alfajiri.. unajikuta hofu yako mbele za Mungu inaongezaka ( imeongezeka) .. ( ghafla kuna aina maisha na aina ya dhambi unakuta unazichukia pindi hofu ya Mungu inapo kuingia kuongezeka), unajikuta sio yule wa jana.. ni rahaa sanaa..
Isaya 11:3
na furaha yake itakuwa katika kumcha BWANA; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;
Heaven Sent Saint Anne
SHIMBA YA BUYENZE
Extrovert Deeboyfrexh
View attachment 2036782
View attachment 2036783
View attachment 2036784
View attachment 2036785
mahondaw zingine hizo.. badae nikisogea mahala pa bundle la chuo nakuweka zingine mkuu

Jino halijadondoka??mguno next level ..