Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Yeah walevi wengi huwa tunajifariji hivyo daahKapime afya ya viungo hivyo, ujue hali yako, mara moja kwa mwaka siyo mbaya ujue hali yako na mustakabali...jamaa yangu mmoja huwa anasema hawezi kuja kufa ini, figo, moyo, mapafu vyote vizima acha ale gambe na fegi ikifika imefika












