Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Enjoying my tende juice
IMG20211207215331.jpg
 
We kakorofi sana wewe. Yaani hushauriki!

Basi angalau ukitaka kufanya harakati zako za ushoga hamishia kwenye ule uzi mwingine ule

Halafu uzee ni baraka bana. Si wote wanaobahatika kuufikia. Hata wewe nakuombea uishi maisha marefu mpaka ufikishe 76 na zaidi!

Enjoy your life mkuu!

Sitajibishana nawe tena
wee nifikie 76 ili nigundue nn? Au kwa bahati gani? Hapa tu naponea chupu chupu kupigwa mawe na kutupwa mtoni,

Uzee n baraka sana tena mno, furahia huo uzee ni bahati sana hiyo
 
Nafunga ukurasa wa mambo yasiyotakiwa humu, kuanzia muda huu hadi siku ya mwisho ya uhai wangu, nitakuwa mkimya ndani ya huu uzi hata nichokozwe vipi,
Samahan kwa waliokwazika sisi ni binadamu sote tuna mapungufu, kwahiyo tuvumiliane.

Uzi wa selfika huu, na tuselfike zaidi.

 
Back
Top Bottom