Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20211207_200819.jpg
 
Naona leo nimeangukiwa na zali la kuhongereshwa uwii! Ajabu sasa sina hata ka champagne humu ndani ka kujipongezea.

Asante sana bageshi. We mwenyewe u mpole mpaka basi yaani. Kaka mtu nasubirisha tu shemeji atakayejitokeza tumpige ng'ombe za kueleweka kwa kutuchukulia cha upole wetu...Blessings sana

Halafu bageshi. Hivi ulishawahi kuselfika humu kweli? Naomba nikuone bageshi
1638897899088.jpg
 
Naona leo nimeangukiwa na zali la kuhongereshwa uwii! Ajabu sasa sina hata ka champagne humu ndani ka kujipongezea.

Asante sana bageshi. We mwenyewe u mpole mpaka basi yaani. Kaka mtu nasubirisha tu shemeji atakayejitokeza tumpige ng'ombe za kueleweka kwa kutuchukulia cha upole wetu...Blessings sana

Halafu bageshi. Hivi ulishawahi kuselfika humu kweli? Naomba nikuone bageshi
Kweli ni mfano mzuri unaonyesha maana mambo ya malumbano/matusi sio kabisa.

Eeh la muhimu hilo kaka, ng'ombe watahusika tu sana lazima usimamie show 😂😂
Me upole si nimerithi toka kwako kakangu😊🙏

Nishaselfika sana tu mie huku, angalia vizuri eti utaniona😃
 
Oooh! Thanks mai furendi...

Na uzee wote huu kuanza tena kutukanana na wajukuu humu dah! Wengine huchukulia kama ni udhaifu hata huku mtaani lakini kuna faida nyingi sana kisaikolojia kuwa calm. Hupati mahomoni haya ya stress hovyo hovyo na roho yako inabakia kuwa nyeupe.

Isitoshe niko mahali yaani social life imeharibiwa sana na Korona. Kwa hivyo JF hapa ndiyo kijiwe changu cha kahawa kuja kutaniana na kucheka. Sasa niache tena kucheka na kufurahi niingie kwenye kutukanana? Hapana. Ndo maana nilikimbia hata jukwaa la siasa japo mara moja moja nikitamani kuyakoga matusi naendaga huko kuchokoza watu tu .

Yeah! It costs us nothing to treat everyone with respect hata kama hatujuani. Actually that's a reflection and a true measure of a man's integrity and self awareness. Kuna mambo mengi ambayo, kama binadamu, hatuwezi kuya-control. Nguvu zetu, hata hivyo, zimo katika namna tunavyo-respond.

Asante sana Karma
Kweli kabisa aisee, huwa nakuwa inspired sana na watu kama ninyi ambao siyo short tempered na siku zote huwa mna positive response even towards negative comments thrown up on you and you dont care.

Haha japo siyo mzee kama unavyosema ila kuna watu wa umri wako wasingeweza vumilia kuona watu wenye umri kama wa cocastic wakiwajibu hivyo, wengine ndiyo kama hao wanatamani hata wamrukie vichwa.

Nimejifunza na naendelea kujifunza kuwa na positive attitude na kuacha kujishughulisha na mapungufu ya watu kama alivyosema mkuu The Monk, maisha mafupi sana haya kuweka makasiriko moyoni kisa binadamu.
 
Back
Top Bottom