cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,138
- 181,192
Jobless tumeshapumzika kitandani,sasa ni muda wa kuzurula kudogo nje tupunge upepo.



wee acha uongo bhana.Jobless tumeshapumzika kitandani,sasa ni muda wa kuzurula kudogo nje tupunge upepo.



wee acha uongo bhana.Kwahiyo unataka tudiscuss?Wakisema walevi wauwawe![]()

Babuu nachokozwa afu sina uvumilivu wa kukaa kimya aaah.Mjukuu kausha basi.. Huku ni furaha tuu.. Tutupie picha zetu za selfika n the like.. Mengine hayo na mengineyo tuyapeleke hukoo na kuleee





Ndio tupo tunarejea sasa ndani tayari kwa kuchezea rimoti za tvwee acha uongo bhana.





Ngoja nitoke babuuh,Takuchapa sasa..loh.. Hiki kibri kina jini maimuna ndani yake..hebu nenda kule kidogo, huku watu hawataki stress mjukuu wangu mpendwa.. Haya nenda sasa usijibizane na wakubwa






Unabadilisha tu vileoLet me try this one....mambo ya wadada haya! View attachment 2036161
Tunampa Urais wa maisha hadi atakapochokaAu Mikese
Pumbavu Sana wew ungekua karibu ningekunasa vibao vikali akili izibuke hiowee huwa sipendagi hata kukujibu, afu una force sana nkujibu, vipi hujambo nini?
![]()
Karibu mkuu.Thanks![]()
Nendeni basi mkagombanePumbavu Sana wew ungekua karibu ningekunasa vibao vikali akili izibuke hio





Kanakinaisha hako kadudeLet me try this one....mambo ya wadada haya! View attachment 2036161
Ataje location nikamnasie vibao hapo hapo alipo kwa gharama zanguNendeni basi mkagombane
Mnatusumbua kwenye uzi wetu.
Wale wote wenye vita nashauri fungueni uzi mkazinyuke huko,,,vita yenu msipiganie selfika.
Resistance zenu kazifungulieni uzi.
Yes, waanzishe uzi wao hapa nikuselfika tu.Nendeni basi mkagombane
Mnatusumbua kwenye uzi wetu.
Wale wote wenye vita nashauri fungueni uzi mkazinyuke huko,,,vita yenu msipiganie selfika.
Resistance zenu kazifungulieni uzi.
Ngoja nione mkuuKanakinaisha hako kadude
E bwanaAtaje location nikamnasie vibao hapo hapo alipo kwa gharama zangu
NaombaLet me try this one....mambo ya wadada haya! View attachment 2036161