Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Good morning.
Kuna kimvua flani cha kivivu.
20211207_061554.jpg
 
Doh sijuagi tu kwanini baadhi ya raia huwa mna mteru mwingi mkiona hiko kivazi! Kumbe sister wako naye yuko chomboni?
Yuko chomboni huko, wee hiyo kazi yenu haina masikhara,
Ndo yeye alie lazimisha niende kwa majibu, wazazi walishakubali nisiende,
Namuogopa sana.
 
usinikumbushe kilichonipata mwaka huu msimu wa kuvuna

Watu 12,nimeambiwa nisinge ugali mie

Sufuria ndogo
Mwiko hakuna
Siwezi kusonga ugali wa zaidi ya watu 4
Asee nilisonga ugali Mara 3,nilitumia lijiti kusongea

Mboga sasa mchuzi ogelea

Halafu wakasema hawajashiba

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
wee hujuagi vibarua ndo zao hawashibagi wale.
 
Back
Top Bottom