Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Good morning.
Kuna kimvua flani cha kivivu.
Kuna kimvua flani cha kivivu.
@reymage unataka kumwambia nini huyu binti yetu!!Hivi uko Wazi PM?!!
Na mabaki mabaki ya ule uji mzito, ute ute fulaan iv,![]()


noma sana sasa sisi tunaolala peke etu alichafuki kabisa sababu sio wachinjajinoma sana sasa sisi tunaolala peke etu alichafuki kabisa sababu sio wachinjaji




kwenda hukoNgoja nifanye hima aisee !!Punguza tumbo shos,![]()

Yuko chomboni huko, wee hiyo kazi yenu haina masikhara,Doh sijuagi tu kwanini baadhi ya raia huwa mna mteru mwingi mkiona hiko kivazi! Kumbe sister wako naye yuko chomboni?





.........hv a GoodDay famView attachment 2035601
Af nlikumic xan, mbna umepotea hivyo?
Harakat tu dada anguu.Af nlikumic xan, mbna umepotea hivyo?

Doh nilivo mzembe sasa!! Nitajitahidi shooKweli anza kabisa mazoezi.![]()
Kuna ile picha umeweka upo na maziwa mazuri sanaHave a good day!View attachment 2035585
usinikumbushe kilichonipata mwaka huu msimu wa kuvuna
Watu 12,nimeambiwa nisinge ugali mie
Sufuria ndogo
Mwiko hakuna
Siwezi kusonga ugali wa zaidi ya watu 4
Asee nilisonga ugali Mara 3,nilitumia lijiti kusongea
Mboga sasa mchuzi ogelea
Halafu wakasema hawajashiba
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app



wee hujuagi vibarua ndo zao hawashibagi wale.Kweli anza ujitahidi bhana,Doh nilivo mzembe sasa!! Nitajitahidi shoo


Have a good day!View attachment 2035585
❤️MremboHave a good day!View attachment 2035585