Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Vile unachochea kuni😬😬😬nani yuko hapa breakpoint k'nyama tu selfike kidisemba zaidi
Vile unachochea kuni😬😬😬nani yuko hapa breakpoint k'nyama tu selfike kidisemba zaidi
Cheers mkuuSelfika waiting forView attachment 2036089

Cheers mkuu![]()

Kimara mwisho.Kimara sehemu gani
Jobless tumeshapumzika kitandani,sasa ni muda wa kuzurula kudogo nje tupunge upepo.acha zako bhana wee lol.
Depal kama DepalChat n picha
View attachment 2036101





Fanya wepesi mdogo wangu kofia isogeze kwa juu kidogo dimpoziiiChat n picha
View attachment 2036101
KwemaChat n picha
View attachment 2036101
Aiseeeeeeeee!!sasa je umeona comments za watu wako wanavyo weweseka? Si wawapige mawe na kuwaua na kuwatupaa mtoni km wanavyodai, wanabaki kulia lia,
Ahsante sana kwa kunionesha huu uzi, ndo nazamia mazima huko, maana uwanja ni wangu, naenda kutamba niwezavyo, weuweeeeeeeeeeeh![]()
Watoto wa mbwa hua tunajichanganyaga tu mkuu.Street flan ushuani![]()
Ikianzishwa vita dhidi ya walevi huponi wewe





Haaa watadiscuss wao wenyewe!Ikianzishwa vita dhidi ya walevi huponi wewe![]()