Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaenda kuwa mpishi wa vibarua.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]usinikumbushe kilichonipata mwaka huu msimu wa kuvuna[emoji3]

Watu 12,nimeambiwa nisinge ugali mie[emoji3]

Sufuria ndogo
Mwiko hakuna
Siwezi kusonga ugali wa zaidi ya watu 4
Asee nilisonga ugali Mara 3,nilitumia lijiti kusongea

Mboga sasa mchuzi ogelea[emoji3]

Halafu wakasema hawajashiba[emoji41]

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom