Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Eti kichwa tu haahhahaWow!! 🥰🥰 kichwa tu kinaonyesha how cute she is...
Eti kichwa tu haahhahaWow!! 🥰🥰 kichwa tu kinaonyesha how cute she is...
Nakiona kijito cha huba kileee🧐
Wahuni washapagawa😂 kweli umetuamulia now!
Na mabaki mabaki ya ule uji mzito, ute ute fulaan iv,Sichafui na uwa linachafuka sana kama mpo wawili kwenye shuuli afu amjatandika shuka apo ndo mijasho yote inaishia apo




Aaah weeh siendi kulima mie
Msimu wangu wa kuumwa huu mlongo
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app



unaenda kuwa mpishi wa vibarua.Nimeogopa, yaan nkionaga iv narukwa na akili, ndo maan hata sister akijaga home huwa nakua na wasi wasi.




Na huwa inachelewa kuondoka ama sijui huwa ni mafikara yangu.




unaenda kuwa mpishi wa vibarua.


usinikumbushe kilichonipata mwaka huu msimu wa kuvuna



Yalaa
Ulipotelea wapi Mkuu ?Yalaa
Duh!
Doh sijuagi tu kwanini baadhi ya raia huwa mna mteru mwingi mkiona hiko kivazi! Kumbe sister wako naye yuko chomboni?Nimeogopa, yaan nkionaga iv narukwa na akili, ndo maan hata sister akijaga home huwa nakua na wasi wasi.![]()
Nilikua mbali kidogo niambie mtu wangu habari za hichi kijiweUlipotelea wapi Mkuu ?
Anha okay , karibu tena pande hizi .Nilikua mbali kidogo niambie mtu wangu habari za hichi kijiwe
Anha okay , karibu tena pande hizi .
Fresh tu ...tupo hapa tunashuhudia picha nzuri kutoka kwa wana jf .
Yale mafunzo ya kivita wanayopata kambini halafu tusiwaogopeDoh sijuagi tu kwanini baadhi ya raia huwa mna mteru mwingi mkiona hiko kivazi! Kumbe sister wako naye yuko chomboni?
Nitatupia siku ingine leo sina hata kapicha ,Nafurahi kuona wewe mzima ...hebu tupia na yako nifurahi kukuona kwa kweli...napenda picha