Hahahaha nishaselfika mbona angalia post ya nyumaMkuu fanya kuselfika basi!!![]()
We endelea kutuchangamsha sisi wazee...55yo umri wa kustaafu kwa hiari.55 unaiokotea wapi Ely?
Ila nimestuka kuona watu wa mwaka 80 sasahivi wana 40![]()
Mkuu usidanganye hata kwa utani.December 12 nagonga 76. Nadhani ndiye mzee JF nzima. Najiweka hapa ili tu kubakia sharp mentally. Hata last born wangu anakuzidi umri kwa miaka zaidi ya 20!
Na huwa inachelewa kuondoka ama sijui huwa ni mafikara yangu.Afu nlidhan ni peke angu,
Harufu yake huwa najiskia kichefu chefu, had kutapika aaah
Duh pages zote hizi ntaanzia wapi kutafuta!!Hahahaha nishaselfika mbona angalia post ya nyuma
Unatufariji haikubalikiWeka hivohivo bana sura ngumu ndo tamu siunajua fleva za watu wazima bana rafiki mahendsamu tunawaachia hawa Vijana!!!
December 12 nagonga 76. Nadhani ndiye mzee JF nzima. Najiweka hapa ili tu kubakia sharp mentally. Hata last born wangu anakuzidi umri kwa miaka zaidi ya 20!



unazingua!!hahahaha Rafiki bana ..acha vijana wajiachieWeka hivohivo bana sura ngumu ndo tamu siunajua fleva za watu wazima bana rafiki mahendsamu tunawaachia hawa Vijana!!!
hahahaha..Sure![]()
Nimeibeba kiimani mtumishi ni kama mcha Mungu sina hakika japo😂Uwongo kwenye utani?
Dhambi kwenye utani?
Kisa mtu kaitwa mtumishi?
Mtumishi kwako ina maana gani mpaka iwe dhambi?![]()
Nibariki na selfie rafiki jamani!hahahaha Rafiki bana ..acha vijana wajiachie