Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
🙄🙄🙄🙄🙄Siku hizi ushaacha kunipigia.
Ngoja nikupigie unipe nipe yape maneno yako.
🙄🙄🙄🙄🙄Siku hizi ushaacha kunipigia.
Ngoja nikupigie unipe nipe yape maneno yako.
Mimi nakuwa tu nimedhamiria kutokutandika,siyo kwamba eti bahati mbaya nilisinzia.mimi uwa nalala tu kuna siku unaweza kuta unastuka umesinzia sitting room kufika chumbani ujatandika unajirushia tu.
Mbona unashangaa??
Comment yako imenichekeshaWacha weee

Hongera mimi kwa week naweza tandika mala moja na mala nyingi uwa j3Mimi nakuwa tu nimedhamiria kutokutandika,siyo kwamba eti bahati mbaya nilisinzia.
Ngoja leo nikakarabati kitanda changu.
Hivi ile keki ulinunua au bado?Hongera mimi kwa week naweza tandika mala moja na mala nyingi uwa j3

Hivi ile keki ulinunua au bado?
Kama bado nitumie hela nikusaidie kununua![]()


ipo home nimenunua jana after church afu nikatoka nimerudi usiku mbovuHaaa!ipo home nimenunua jana after church afu nikatoka nimerudi usiku mbovu

HahaaaaaaMerci bou coup!! haha nishasahau french!!
Huchafui bed cover?napenda kulala kitanda kilichotandikwa lakini mvivu wa kutandika adi mwisho




Haaa!
Umenunua na hausemi![]()

nishasahau yani umenikumbusha ulivoniambia sijui ndo uzee au jua la darSichafui na uwa linachafuka sana kama mpo wawili kwenye shuuli afu amjatandika shuka apo ndo mijasho yote inaishia apoHuchafui bed cover?![]()
U gar it, if u don gar foger abar it..
Mbona rahisi tu mimi wala siyo expertMimi zinanikera pia.
Nifundishe basi pa kutolea wewe expert wa Samsung.
Comment yako imenichekesha
Halafu nkamu nasubiri picha hadi leo.