Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
hahahaha..eti mjeda ...siku nyingineNibariki na selfie mjeda jamani! Nasikia TU wanakuita mjeda haha!
hahahaha..eti mjeda ...siku nyingineNibariki na selfie mjeda jamani! Nasikia TU wanakuita mjeda haha!
Unabahati haijafutwa wenzio tumeshabarikiwa tayaliAseee... Asante Mungu ❤️
Tutamalizana tu kwa hili asee 😁😁😁
Aisee Mungu akufanyie wepesi upate mingi zaidi daaah.Wewe najua unatania. Mimi ni kweli!
Na mwaka huu naalika baadhi ya wanaJF waje wahakikishe wenyewe!
Hatari sanaaa, mie nilikuwa naichunguza kwanza, niliona siku nyingi nika download kwa ajiri ya kuirudi rudia kwanza kabla ya commentUnabahati haijafutwa wenzio tumeshabarikiwa tayali
Mengine (mf. kuchunguza ucha Mungu wa mtu) mwachie Mungu mwenyewe kwa sababu mwenyewe pekee Ndiye mwenye mamlaka hayo; na wewe kama wewe huna mamlaka hayo!Nimeibeba kiimani mtumishi ni kama mcha Mungu sina hakika japo![]()
Mi nataka leo rafiki!hahahaha..eti mjeda ...siku nyingine
Ya muhimu ndiyo yapi?Aisee Mungu akufanyie wepesi upate mingi zaidi daaah.
Wewe unahaki zaidi kushinda humu mana ushamaliza ya muhimu

Mkuu kwamba umemuamini sio?Aisee Mungu akufanyie wepesi upate mingi zaidi daaah.
Wewe unahaki zaidi kushinda humu mana ushamaliza ya muhimu
Unafikiri wote wanaoshinda humu wakitaniana na kucheka hawana mambo ya muhimu ya kufanya?Ya muhimu ndiyo yapi?
Ni nani anayeamua hayo ya muhimu kama siyo mtu mwenyewe?
Unafikiri wote wanaoshinda humu wakitaniana na kucheka hawana mambo ya muhimu ya kufanya?![]()





Dah! Ishakuwa shida tayari!
Yaani ukawa unajiuliza huyu kweli ni mjeda au kamba tueHatari sanaaa, mie nilikuwa naichunguza kwanza, niliona siku nyingi nika download kwa ajiri ya kuirudi rudia kwanza kabla ya comment
Nimeubeba mkuu sijui nauchunguzaje kwa maandishiMengine (mf. kuchunguza ucha Mungu wa watu) mwachie Mungu mwenyewe kwa sababu mwenyewe pekee ndiye mwenye mamlaka hayo.
Ni ushauri tu - tena wa bure!
...eeeh rangi ya 'mtume'
Ni mwanamke ambae ni mama..Yaani ukawa unajiuliza huyu kweli ni mjeda au kamba tue
Unaicheki tena na zile swaga zake mbona havifanani?
Ha ha haaa jibu lipo pale kuna mda ni mke haswaaa
Mweeh ni Mtumishi kiutani tuUwongo hatakama ni wa utani ni zambi.
anakuaje mtumishi?