Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na tangu mwanzo hilo halikuwa lengo lenu kuongelea.

Ila kuna watu wamelazimisha hadi mmeanza kuongelea.


Tuendelee na essay mama Beijing[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cc una nn wee, eti [emoji406] ziendeleee, uwiiiiih
 
Ground view
255624692976_status_cff27209224d488384ce0f7d2e4fef9b.jpg
 
View attachment 2031966
Its furahiii day [emoji483][emoji483]
Kwenye hii sredi yako ulitufunga kamba Priscallia. Sijui kwa nini ulitufanyia hivi. Si kwa mipaja hii yenye midimpozi [emoji2099][emoji2099][emoji2099]

 
Eeh bwana napata asilimia 90 ndio naendesha maisha mjini hapa daslam.,ndo biashara zangu mjini hapa.
Siku nyingine jitahidi kupunguza ramli,hauziwezi.

Ndo shida ya kuvamia mada bila kuisoma toka mwanzo.


Huyu mtoto nadhani mada iliwahi kuja mwakajana mpaka nikagombana na watu humu,
Nilipinga sana picha za huyu dogo alizoanza kupost na nilimuandama sana.


Ila kwa mada hii namtetea kwa sababu nimesoma chats zao tangu mwanzo na wala walikuwa hawaongelei huo ufiraji wenu.
Kumbe una kumbu kumbu, na ukiangalia chanzo cha zile picha kuzituma n nn? Kna mtu m1 humu yeye alikua ana ni attack sana hata pasipohusika, ndo nkaamua kutuma zile picha kumfurahisha zaidi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora wewe uliyekuwepo tangu mwanzo useme! Wale wanafiki wanaojifanyaga wanachukia ushoga ilihali wao wana madhambi yao makubwa kuliko hiyo wangekaa kimya hata sijui wangepungukiwa nini, sisi wengine hatuwezi vumilia kuona lijitu lizinzi limeshupaza shingo linamtukana shoga, like nigga what is the fvcking difference between you two?

Kwa sababu ukichunguza kwa umakini ushoga unaanzia kwenye uzinzi watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa wala ushoga usingeenea kwa kiasi hiki! Kwa sababu ushoga bado haujapokelewa kwa mikono miwili kwenye jamii nyingi sana tena sana hivyo ni ngumu sana wanaume wawili mabikira eti wafunge ndoa wakashikishane ukuta!

Ushoga kwa asilimia kubwa huanzia na kufanyika kwenye mazingira ya uzinzi ila hapa watu wanajifanya wanafiki kama vile dhambi wanazofanya wao ndiyo ndogo sana! Wazinzi ukiwaambia watakuletea upumbavu wa sijui kuuziwa mbuzi kwenye gunia na takataka nyingine kama hizo na wanaamini kwa vile watu wengi duniani wanafanya basi eti ni halali!View attachment 2031872
Nimependa na hii picha, nshai download.
 
Mkuu hiyo jamii yenyewe imejaa maovu na unafiki tu! Jamii ambayo inamuona mzinzi yuko sawa na shoga hayuko sawa ni jamii ya mashetani kama mashetani wengine tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kanaanziaga kusoma juu kalipoishia.
Na kanasomaga comment moja moja na kanatoa response ,,hakana utaratibu wa kusoma zote.
Ndivyo kalivyo siku zote,siyo kwenye mada hii tu.
Unavyokapamba sasa...Hooovyoo!...Kakanye kapunguze mashauzi kapunguze kuudhi wananzengo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099]
 
hahahahahahhahahahah jomoni lazima kuna namna mdomo unakua...imagine kidume kinasema jomoni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...


anyway

bia tamu[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Akiwa ni mtu wangu akisema hivyo kabla hajamalizia ameshaoga glass ya beer na nainuka namuacha hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si mnaona sasa! Yaani hadi Shetani mnamvisha utakatifu kwamba eti hata dhambi ya ushoga haimuhusu wakati Mungu mwenyewe kawaacha wanaishi na wengine anawabariki na anawapa nafasi ya kutubu vinginevyo si angewaua tu chap!
Kwanza almost mashoga wengi maisha yanawaendea poa sana, kuliko hata hao straight, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha yanawachapa, hasira kwa ma$hoga, na wanawakuta wasiojielewa,

Yaan mtu anaandika essay refu, anarudia kitu kile kile afu sasa hata hatoi huo uthibitisho wake,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nachekaga sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndiyo unafiki wenyewe huo sasa! Kwamba unataka hoja gani sasa hapo ya kuthibitisha kwamba wale wanaowahukumu mashoga na kuwaacha wazinzi ni wanafiki unataka turemberembe maneno ili wewe ufurahi ndugu yangu ama?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewapa za chembe, umewapa za uso wanabaki kuparaganyika, na umejua kuwakomesha kwa kweli.
Nyeupe n nyeupe,na nyeusi n nyeusi, bravooooh sana.
 
Kwenye hii sredi yako ulitufunga kamba Priscallia. Sijui kwa nini ulitufanyia hivi. Si kwa mipaja hii yenye midimpozi [emoji2099][emoji2099][emoji2099]


Wewe shauri yako [emoji4]
 
Kwanza almost mashoga wengi maisha yanawaendea poa sana, kuliko hata hao straight, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha yanawachapa, hasira kwa ma$hoga, na wanawakuta wasiojielewa,

Yaan mtu anaandika essay refu, anarudia kitu kile kile afu sasa hata hatoi huo uthibitisho wake,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nachekaga sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Hey ladies, mkuwe basi jamani. Yaani uzi mzima mmeuharibu kwa kuleta mada zenu za ushoga embu hayo mambo yenu mkayazungumzie huko PM.

Huu uzi ulikuwa mzuri mmeanza kuuharibu kwa kuingiza mada zenu za ajabuajabu, muwe na aibu basi.
 
Hatutaki watoto wetu wawe mashoga lakini pia hatutaki watoto wetu wazinzi! Sawa basi tumeshamaliza kuwatukana mashoga tuhamie kwenu wazinzi tuanze kuwatukana mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hao mashoga anawaweza bas? Mbna wapo wengi mtaan tena wanapigana vikumbo huko kwenye ma clubs na pubs, kwanini asiwaue na hilo panga au jambia na akawatupe huko mtoni anakosema,
Anakwama wapiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hasira zake zipo nyuma ya keyboard, atoke hadharan sasa tumuone akipinga yeye si mwanaume rijari haswaaaaah.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka, nacheka na kucheka tena.
 
Teh hoja my foot! Haya washurutisheni viongozi wenu waweke sheria ya kukamata mashoga na kuwafunga kama wanavyofanya kwa watumiaji wa madawa ya kulevya kisha waanze kuwanyonga na kuwatupa halafu ndiyo tutajua kati ya mimi na wewe hapa nani ana hoja na nani ana mihemko!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comment hii utawaua nguvu za kiume za kuokoteza.
 
Back
Top Bottom