Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aahh huyo ni genius siku zote kwani we humsomagi hata kwenye comments zake nyingine? Na nina uhakika haujawahi mkuta kwenye nyuzi nyingine akiwa anajisifia mbona utampenda maana anaonaga wengine wote ni vilaza yeye ndiyo yuko vizuri na anajua kuhusu kila anachokiongelea!

Yaani ukae kimya!
Nimecheka sana.
Nisomee wapi,nishatupia kwenye zile takataka zangu kwa kile kitufe.

Bangi ni mbaya.
Ah huyu si ashawahi kupachika ndugu zake kwenye comment yangu.
Akawapachika na kina Billgate kwahiyo wala sishangai. .bahati nzuri nilikuwa kwenye mood yangu nzuri ya maombi.


Hata hii mada naona alijipachika kwenye comment zenu.
 
Ngoja nikuhadithie mimi japo hujaniuliza
Karma alipost picha za miguu yake, cocastic akasema ameipenda..mjadala ukaanza hapo yakaingizwa mambo ya kupaka rangi,,kama akasema huwa hajiweki kikikekike ,hayo mambo ya urembo na nini.
Cocastic akasema ana dada yake pia ni tomboy..mjadala ukaendelea..wahuni wakaja kuingiza comment za ufiraji ndio hilo varangati linalindima hapo
Oooooh!!! Kumbe ndivyo ilivyokuwa?

Sasa nimeelewa..Ahsante kwa ufafanuzi mdogo wangu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu walikuwa wanajichatia tu vizuri humu kuhusu utomboy sijui utom girl,,watu wamevamia comments zao na kuingiza hizo za ushoga.
Kuna watu wakiona hizi "tyuuu" na "jomoni" zilizotamalaki humu basi wanachefukwa. Uvumilivu unahitajika kwa sababu mpaka mtu kaamua kuwa shoga kalegea anatembea anarusha mikono huku na huko sidhani kama unaweza kumbadilisha tu kwa kumshambulia mitandaoni humu.

Na mimi ningependa pia kuona vita na chuki hizi dhidi ya mashoga pia zinaelekezwa kwa wanaofira mabinti kwa sababu, kwa maoni yangu, nao ni wale wale tu.

Anyway, kama ulivyosema, tuendelee na mambo mengine....
Yah..tusonge mbele sasa wakuu,tumefunga mjadala
 
Back
Top Bottom