Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Halafu kwani si mlikuwa mnapiga stori tu kuhusu mionekano yenu!Waambie hao wanaochagua dhambi! Mfano mimi siyo mzinzi jambazi wala msagaji na nachukia hayo matendo, lakini huwa najiepusha sana kuwahukumu wazinzi majambazi na wasagaji kwa sababu najijua mimi ni mlevi, sasa nikisema eti nijione mtakatifu au nina afadhali eti kisa dhambi ya ushoga ndiyo inaonekana ina madhara makubwa sana kuliko ulevi sitakuwa sahihi na nitakuwa mnafiki tu sababu zote hizo ni dhambi!
Kilichowawasha kuingiza hizo habari zao nyingine ni nini?
Umezuka mtindo humu jf wavuta bangi wachache wanavamia comments za watu na kuanza kubwabwaja vile wanataka.







