cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Dooh sema mjomba unaonekana we ni short tempered kinyama unamind hadi vitu vidogo! Sikutegemea kama huu mjadala ungekuturn this furious!







kapanicl vibaya, hata sikuwaza kumbe yuko hivi,Dooh sema mjomba unaonekana we ni short tempered kinyama unamind hadi vitu vidogo! Sikutegemea kama huu mjadala ungekuturn this furious!







kapanicl vibaya, hata sikuwaza kumbe yuko hivi,Aiseee hivi ni kwanini mkishashikiwa pabaya huwa mnakimbilia kusema kuwa siyo wote wanaoamini dini wala uwepo wa Mungu? Na huwa mnakimbilia kwenye mwamvuli wa sheria na tamaduni kwani kila mtu anafuata hizo tamaduni?
Sasa kama wewe hauwaheshimu mashoga kwanini unanilazimisha mimi niwaheshimu watu wasioamini Mungu katika kundi la watu wengi wanaoamini Mungu? Je vipi dunia nzima tukasema tusimuamini Mungu hali itakuwaje?
Halafu pia kwanini ulazimishe kila mtu aamini sayansi what is sayansi? Wakati hata sayansi nayo kuna vitu havijawa proven kwa asilimia mia moja kama ambavyo atheists wanaamini kuna vitu kuhusu deity havijawa proven kwa asilimia mia moja?
Hadi kaifikie hii comment ni asubuhiBasi mkuu inatosha. Pumzika sasa uzi uchukue mkondo kwingine. Kulitaka kupoa kidogo lakini sasa umekuja unakwoti kila mtu na kuchochea moto upya. Mjadala huu utaendelea mpaka lini? Acha sasa ili watu waendelee na mambo mengine. Hukuwepo na watetezi wako wamekupigania sana. Let's move on to other important things. Jifunze kusikiliza na mashauri ya watu wengine na siyo wewe kujifanya wewe ndiyo wewe tu. Inatosha sasa. Acha watu waendelee na mambo mengine...




Mlongo fanya fanya, niwe house-made wako.Inaitwa mwaka huu lazima nijenge
TuoneView attachment 2031953View attachment 2031959
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app



Hapana. Hakashauriki...Hadi kaifikie hii comment ni asubuhi![]()
Sasa na ww ndo utakazana kukwoti kila mtu aliyechangia huu mjadala. Jomoniii![]()




najuaga kuchukia mie bas? kwangu burudani tyuuh, naishi navyotaka, sio wanavyotaka.

Ulivonijaa umbea mie, huwa sitaki kupitwa.Kanaanziaga kusoma juu kalipoishia.
Na kanasomaga comment moja moja na kanatoa response ,,hakana utaratibu wa kusoma zote.
Ndivyo kalivyo siku zote,siyo kwenye mada hii tu.






Akiwa ni mtu wangu akisema hivyo kabla hajamalizia ameshaoga glass ya beer na nainuka namuacha hapo![]()





sitaki kuamini eti?Unavyokapamba sasa...Hooovyoo!...Kakanye kapunguze mashauzi kapunguze kuudhi wananzengo![]()



watakufa buree, wawe buzzy na mambo yao. 



Hey cc, hili jambo hapa sio sehemu yake, ila baadhi ndo walitaka haya, tulishatoa muongozo mbona.Hey ladies, mkuwe basi jamani. Yaani uzi mzima mmeuharibu kwa kuleta mada zenu za ushoga embu hayo mambo yenu mkayazungumzie huko PM.
Huu uzi ulikuwa mzuri mmeanza kuuharibu kwa kuingiza mada zenu za ajabuajabu, muwe na aibu basi.



Yeaaaah nakupenda nikikosea unanikanya, na nikiwa sawa unaniweka sawia, ubarikiwe,Leo nimekatetea maana walikuwa wanajadili mada nyingine kabisa.
Mbona kakienda hovyo huwa nakapa za uso, na watakaonivamia nao nawatwanga hivyohivyo.




Sawa lakini kama kila mtu angeishi anavyotaka, jamii ingeparaganyika. Maelewano katika jamii yanamtaka kila mwanajamii kuacha kufanya baadhi ya vitu kama vinawakera wengine - hasa kama vitu hivyo havimwongezei wala kumpunguzia cho chote. Hiki ndicho kiini cha dhana ya "kuishi vyema na watu". Kama kila siku wewe ndiyo kiini cha purukushani na migongano katika jamii, pengine ni wakati wa kurekebisha baadhi ya mambo hasa kama hayakunyimi raha na utashi wako.najuaga kuchukia mie bas? kwangu burudani tyuuh, naishi navyotaka, sio wanavyotaka.



Pole sana mkuu. Naonaga wataalamu wa tiba asilia wakijitapa kuwa wanaweza kuvitibu. Hata humu akina MziziMkavu huwa wanajitapa kuwa vinatibika. Jaribu na huko kama bado hujajaribu...Ulcers ni mbaya, asikwambie mtu,,from wailes to sudani just for a snack ili viache kuuma,,, na dawa za mwezi mzimaView attachment 2031998
Sent using Jamii Forums mobile app


Sawa lakini kama kila mtu angeishi anavyotaka, jamii ingeparaganyika. Maelewano katika jamii yanamtaka kila mwanajamii kuacha kufanya baadhi ya vitu kama vinawakera wengine - hasa kama vitu hivyo havimwongezei wala kumpunguzia cho chote. Hiki ndicho kiini cha dhana ya "kuishi vyema na watu". Kama kila siku wewe ndiyo kiini cha purukushani na migongano katika jamii, pengine ni wakati wa kurekebisha baadhi ya mambo hasa kama hayakunyimi raha na utashi wako.
Ila kama burudani tyuuh ni muhimu zaidi kuliko utangamano na maelewano na watu basi endelea tu mkuu. Mpaka wakuroge yaani![]()




wao wanavofanya mambo yao mie nawakatazaga? Si kwa uhuru wao? Na wao waache kufatilia wenzao, kila mtu ashinde match zake bhana wee, 


