Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tuendelee kunywa bia chief mkwawawadandiaji treni Wacha tushuke dj tushushe Kwa wimbo wa zabron singers

Tuendelee kunywa bia chief mkwawawadandiaji treni Wacha tushuke dj tushushe Kwa wimbo wa zabron singers

Siyo lazima usome mkuu.maelezo ni marefu sijasoma....UMESHINDA Battle La kuwatetea magay.....enough for today![]()
baba Joyce ni huzuniNa Kuna watu wanawatetea humu kwakweli inasikitisha Sana huu Uzi ulikua Bomba Sasa ni takataka
Kabisa aisee mwisho wa mwaka huu tusimalize Kwa malumbano ,,waiter pale peleka nne Kwa st Anne zifungue kabisa hakawii kurudisha kimya kimya apewe helaTuendelee kunywa bia chief mkwawa![]()
Bora wewe uliyekuwepo tangu mwanzo useme! Wale wanafiki wanaojifanyaga wanachukia ushoga ilihali wao wana madhambi yao makubwa kuliko hiyo wangekaa kimya hata sijui wangepungukiwa nini, sisi wengine hatuwezi vumilia kuona lijitu lizinzi limeshupaza shingo linamtukana shoga, like nigga what is the fvcking difference between you two?Watu walikuwa wanajichatia tu vizuri humu kuhusu utomboy sijui utom girl,,watu wamevamia comments zao na kuingiza hizo za ushoga.
THANK YOUKuna watu wakiona hizi "tyuuu" na "jomoni" zilizotamalaki humu basi wanachefukwa. Uvumilivu unahitajika kwa sababu mpaka mtu kaamua kuwa shoga kalegea anatembea anarusha mikono huku na huko sidhani kama unaweza kumbadilisha tu kwa kumshambulia mitandaoni humu.
Na mimi ningependa pia kuona vita na chuki hizi dhidi ya mashoga pia zinaelekezwa kwa wanaofira mabinti kwa sababu, kwa maoni yangu, nao ni wale wale tu.
Anyway, kama ulivyosema, tuendelee na mambo mengine....![]()
Hata mimi nimedandia treni kwa mbele tu...ila nadhani ni hayo mambo ya "tyuuu na jomoni"Halafu ujue kinachoendelea hata sijakifuatilia...
Naona waraka za watu tu humu... ila kusoma sijaweza...Kwani Imekuja kuwaje tena SYB?
Sent using Jamii Forums mobile app



hahahahahahhahahahah jomoni lazima kuna namna mdomo unakua...imagine kidume kinasema jomonijomoni








...



Mkuu hiyo jamii yenyewe imejaa maovu na unafiki tu! Jamii ambayo inamuona mzinzi yuko sawa na shoga hayuko sawa ni jamii ya mashetani kama mashetani wengine tu!Ushoga hapana ndugu yangu inatakiwa ukemewe vikali Sana na Hawa madogo inatakiwa waoneshwe Kila aina ya torture wajue jamii haitaki ,, wew chukua mfano rahisi tu mtu aseme huyu mlevi na huyu shoga Nan jamii inamuona sio wa kawaida
Mdogo wangu hebu chukua pepsi hapo kwa mangiBora wewe uliyekuwepo tangu mwanzo useme! Wale wanafiki wanaojifanyaga wanachukia ushoga ilihali wao wana madhambi yao makubwa kuliko hiyo wangekaa kimya hata sijui wangepungukiwa nini, sisi wengine hatuwezi vumilia kuona lijitu lizinzi limeshupaza shingo linamtukana shoga, like nigga what is the fvcking difference between you two?
Kwa sababu ukichunguza kwa umakini ushoga unaanzia kwenye uzinzi watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa wala ushoga usingeenea kwa kiasi hiki! Kwa sababu ushoga bado haujapokelewa kwa mikono miwili kwenye jamii nyingi sana tena sana hivyo ni ngumu sana wanaume wawili mabikira eti wafunge ndoa wakashikishane ukuta!
Ushoga kwa asilimia kubwa huanzia na kufanyika kwenye mazingira ya uzinzi ila hapa watu wanajifanya wanafiki kama vile dhambi wanazofanya wao ndiyo ndogo sana! Wazinzi ukiwaambia watakuletea upumbavu wa sijui kuuziwa mbuzi kwenye gunia na takataka nyingine kama hizo na wanaamini kwa vile watu wengi duniani wanafanya basi eti ni halali!View attachment 2031872
Mimi kuna maneno haya jamani..Mekula, Mecheka siyapendi jamani.. Atumie Mwanamke/Mwanaume aiseee naweza nisijibu kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app








.......Bora mwanamke mkuu naweza vumilia....mwanaume unaandika tyuu,mara jomoni,mie mechoka





Aahh ngoja niwache tu my dear! Ila sisi wengine tunachukia dhambi ya unafiki kuliko hata huo ushoga wenyewe aise!Na tangu mwanzo hilo halikuwa lengo lenu kuongelea.
Ila kuna watu wamelazimisha hadi mmeanza kuongelea.
Tuendelee na essay mama Beijing![]()
Muone!jomoni
Inashangaza sanaBora wewe uliyekuwepo tangu mwanzo useme! Wale wanafiki wanaojifanyaga wanachukia ushoga ilihali wao wana madhambi yao makubwa kuliko hiyo wangekaa kimya hata sijui wangepungukiwa nini, sisi wengine hatuwezi vumilia kuona lijitu lizinzi limeshupaza shingo linamtukana shoga, like nigga what is the fvcking difference between you two?
Kwa sababu ukichunguza kwa umakini ushoga unaanzia kwenye uzinzi watu wangekuwa hawafanyi mapenzi kabla ya ndoa wala ushoga usingeenea kwa kiasi hiki! Kwa sababu ushoga bado haujapokelewa kwa mikono miwili kwenye jamii nyingi sana tena sana hivyo ni ngumu sana wanaume wawili mabikira eti wafunge ndoa wakashikishane ukuta!
Ushoga kwa asilimia kubwa huanzia na kufanyika kwenye mazingira ya uzinzi ila hapa watu wanajifanya wanafiki kama vile dhambi wanazofanya wao ndiyo ndogo sana! Wazinzi ukiwaambia watakuletea upumbavu wa sijui kuuziwa mbuzi kwenye gunia na takataka nyingine kama hizo na wanaamini kwa vile watu wengi duniani wanafanya basi eti ni halali!View attachment 2031872

Tena mashetani walioota pembe.Mkuu hiyo jamii yenyewe imejaa maovu na unafiki tu! Jamii ambayo inamuona mzinzi yuko sawa na shoga hayuko sawa ni jamii ya mashetani kama mashetani wengine tu!
NimekumissMdogo wangu hebu chukua pepsi hapo kwa mangi
Okoa muda wako.Aahh ngoja niwache tu my dear! Ila sisi wengine tunachukia dhambi ya unafiki kuliko hata huo ushoga wenyewe aise!
DadaMdogo wangu hebu chukua pepsi hapo kwa mangi




Na Hannah naye sijui ameenda wapi.Dada
Umekuwa mwana mpotevu. Bora umekuja unisaidie aise kwa nondo zako naamini watakuelewa vizuri zaidi hawa wanafiki.