Waache watoto wakufate...
Arts nayo ipo ipo tu Kama uji wa mtoto 'no sukari no chumvi.
Me science O- level niliingia siku moja siku hiyo hiyo nikatoka
Nilikuwa muongeaji somehow sasa nimefika hapo science naona raia hata 20 hawafiki nikaona na haya makelele yangu sitoweza.