Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂🤣😂🤣😂🤣
Umenichekesha, kumbe na wewe ni amateur, sasa lini niwapeni course na NDINDA kwenye zoom, ila usivae sasa ninja😁😁..
🤣🤣🤣🤣
Wewe tu mwalimu utupange 😉
Nshaandaa notebook and everything 🙂

Ishu ya uninja hata usiwaze...ntavaa mask tu kufuata ushauri wa CDC 😷....you know....just to be safe from C-19😜
Hacking hasa ukitumia social engineering ni simple sana hasa mtu asipokuwa makini...

Mtu anaweza dondosha usb stick nje ya office yako, akahifadhi malware ambayo ina keystroke logging which means kila unapo log kwenye site inaiba credentials na kuzituma kwake, kama una online banking ujue ndio imeisha hio...

Na jinsi watu tulivyo tunaokota tu flash una connect pasipo kujua...

There are million ways kuhack mtu kama kweli umedhamiria... wabongo tupo careless sana...

Hizi malware zinauzwa zingine ni free..
I knowwww man 🥴
1st hand experience...wabongo tunakaa kizembe sana hata kwenye maofisi huko. 😏

Sijawahi kufikiria kudondosha flash near a target though...NEAT TRICK!!!!Haswa kwa jinsi ambavyo wabongo tunapenda vitu vya bure! Yani swala anajipeleka mwenyewe kwa simba 😂
 
Hacking hasa ukitumia social engineering ni simple sana hasa mtu asipokuwa makini...

Mtu anaweza dondosha usb stick nje ya office yako, akahifadhi malware ambayo ina keystroke logging which means kila unapo log kwenye site inaiba credentials na kuzituma kwake, kama una online banking ujue ndio imeisha hio...

Na jinsi watu tulivyo tunaokota tu flash una connect pasipo kujua...

There are million ways kuhack mtu kama kweli umedhamiria... wabongo tupo careless sana...

Hizi malware zinauzwa zingine ni free..
Nilitumia keylogger kunasa password ya WiFi ya eneo flan
 
Kama ma-uncle wenyewe ndo kama wewe na mama ni amateur....I repeat....AMATEUR hacker Sitoshangaa

Ila utoto raha sana
I still remember ujinga nilioandika after I hacked someone's Facebook and (enzi hizo ) yahoo email

Mungu na muhusika wanisamehe kwa ujinga ule
nmekumbka mbali tyuuh
 
20211114_110001.jpg
 
Back
Top Bottom