Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bongo watu wana ukwasi, check yule doctor specialist wa moyo Maybach yake halafu eti mimi na kipaso changu nikamuovatek.View attachment 2008682
20211113_091929.jpg
 
Hapana ni mahesabu tu, bado sijaoa, sina mtoto, sitarajii kuhamia leo wala kesho, nakwenda taratibu, lazima bata liendelee kiasi na majukumu yaendelee...

Na wala sishauri kujenga ndio ujanja, unaweza kila mwezi ukawekeza 40% ya kipato kwenye ujenzi ukawa na furaha na huna stress...

Hata kama unafanya kazi ngumu, fanya 2 hrs then pata health break..
Kutana weekend na washkaji, pata bia 2/3 story za hapa na pale, pay some bills, unawatumia skani shekeli kidogo na hayo ndio maisha...

Lakini we sasa ndio upo biiiiiiiiiiiiizeee! Sio vizuri sana..
wanywa pombe nawajua vyema sana, kna brooh wa damu nae anapiga ulabu xan, yaan ujenzi alianz 2017 kamaliza kila kitu mwaka jana,. so kwamba hela hana au asngeweza kumaliza mapema ila tyuuh n ulabu ndo 7bu.
 
Sasa huyo umesema anapiga ulabu sana, si sawa na mimi ambae baadhi ya weekend nakuka ulabu ile medium... sema tu uwepo wangu lazima watu walewe na nimepata deals nyingi tukiwa bar, wanywa pombe wana michongo hatari...

Wanywaji wengi ambao wapo smart, kwenye pombe ndio mahala wanakaa kuongea,kushauriana na kutafakari maisha kwa ujumla yanakwenda vipi... ila isiwe too much...

Sira 31:27 BHND​

Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi. Maisha yafaa nini bila pombe? Imeumbwa iwafurahishe watu.


Sira 31:31 BHND​

Usimkaripie jirani yako kwenye pombe, wala usimdharau anapofurahia karamu. Usimwambie neno la kumwonya, wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni.
mnaokunywa pombe mna nn nyie? Haya maneno ndo km huyo mwenzio huyasemaa, eti bar ndo site ya michongo mbali mbali,

Na pombe zieendelee,
 
Sure nakuambia, kuna rafiki yangu mmoja mzee wake alikuwa mzungu, mama msukuma, sasa dingi alikuwa akienda bar anakula gambe hatari, then anapiga simu afuatwe bar kalewa hawezi endesha, wenzetu kidogo wako strictly kwenye kufuata sheria...

Mara nyingi utamkuta bar na makaburu wale wazungu wa SA...

Sasa jamaa alikuwa ananitafuta tukamchukue mzee wake bar... tukiwa tunarudi maskani kwenye gari mzee anamwambia mwanae huku nasikia "yaani bar ndipo napatia deals siwezi acha kuja" ...

Nadhani ni utamaduni uliopo dunia nzima haswa kwa wanywaji, ni kama baba yao na mama ni mmoja, sio kwetu tu, huu utamaduni upo kwa wanywaji dunia nzima

Sasa we mbona unapiga dumla la ulanzi halafu unatusengenya
nmecheka mbavu cna hapa, hebu niache na ulanzi wangu wee, na nkitaka nitibuke napiga ulanzi wee nkilanduka tyuuh watu kaz wanayo, uwiiiiih.
 
Back
Top Bottom