Sure nakuambia, kuna rafiki yangu mmoja mzee wake alikuwa mzungu, mama msukuma, sasa dingi alikuwa akienda bar anakula gambe hatari, then anapiga simu afuatwe bar kalewa hawezi endesha, wenzetu kidogo wako strictly kwenye kufuata sheria...
Mara nyingi utamkuta bar na makaburu wale wazungu wa SA...
Sasa jamaa alikuwa ananitafuta tukamchukue mzee wake bar... tukiwa tunarudi maskani kwenye gari mzee anamwambia mwanae huku nasikia "yaani bar ndipo napatia deals siwezi acha kuja"



...
Nadhani ni utamaduni uliopo dunia nzima haswa kwa wanywaji, ni kama baba yao na mama ni mmoja, sio kwetu tu, huu utamaduni upo kwa wanywaji dunia nzima


Sasa we mbona unapiga dumla la ulanzi halafu unatusengenya