Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,120
😁😁😁 I'm glad!!!hakika tumbo langu limepata shibe,
Iv dea kwa milo hii mbna hufutuki? Npe siri ya mafanikio.
Maan mie nikila kdg tyuuh menyu km hiyo, lazma nifutuke, had nawaza kukata utumbo wallah iv.
Mazoezi mbna huwa nafanya sometimes, lakn bado sion matokeo chanyaa, khaaahI'm glad!!!
Huwa nakula kidogo ila hata nayo haisaidiiFanya fanya mazoezi kidogo (hata kutembea tu ) inasaidia sana!
I want what I want....and this is not it 😕😕
Tatizo tunapenda ukianza mazoezi leo matokeo tuone kesho 🙈🙈 Ongeza ongeza bidii and stick to the program....utaona 🙂Mazoezi mbna huwa nafanya sometimes, lakn bado sion matokeo chanyaa, khaaah
Nyumbani si unapajua???Nakuletea sasa hivi...
Nipe location..
Ukiwahi utakuta ila hatokutosha!🥴Usimmalize basi huyo samaki... nipo njiani nakuletea vans
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Napajua kwenye picha..
HahahaWe unakulaga kila kitu cha kienyeji, hilo yai la kienyeji?
Lizzy mambo#lonedinner #fishnchipsView attachment 2009437
😋my perfectionYOLOView attachment 2001384View attachment 2001386
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Mkuu, habari ? naulizia bei ya play station 4 bei ya chini kabisa nitapata kwa tsh ngapiKISA UMEPITA NAE NDIYO TUSHINDWE KUMLA?View attachment 2002256
kumbe we ni ka bwana mdogo tu,kuna siku niko kwenye dala dala Mwanza hapo mbele yangu amekaa mzee flani kachomekea shati ila chini ana mi sendo afu anabonyeza simu ameingia JF sijui ni member gani humu😂
Kwani siku ukitamani sana kumsalimia dada H unampataje?😁😁Rahisisha mambo nipe namba tu za simu..
Acha ujanja wewe....Vans zifike hizo 🤨