Fresh tu mkuu za sikuPoa kabisa Ely...niaje?
Na pombe hizi nilizojitwika hapo ningefukuzwa
I missed you more dada (hujaniambia nikuiteje)


Fresh tu mkuu za siku
"Dada" 😁😁🥴I missed you more dada (hujaniambia nikuiteje)![]()
😁😁😁 hivyo hato-enjoy....the visit will be too brief 🙁Dada H nitamfuata shuleni wakiwa break...
Wewe inabdi nikuhack tu sina jinsi, utanisamehe kwa hilo
kumbe we ni ka bwana mdogo tu,kuna siku niko kwenye dala dala Mwanzo hapo mbele yangu amekaa mzee flani kachomekea shati ila chini ana mi sendo afu ananonyeza simu ameingia JF sijui ni member gani humu![]()


mwendokasi inabeba wana jf wengi sanaKumbe ndio kazi yenu kutuchora wazee 🙄😳🥺mwendokasi inabeba wana jf wengi sana
Huwa nachungulia ukimtizama mtu hata hauwezi kumkadiria
Hmmmm....Ngoja nikuoneshe kitu Lizzy ujue tuko serious na kazi...
I hate itttttt 🙈🙈Oohh thats great![]()