Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Angekuwa mpole angepata list nzima+ kisababishi.

Tatizo alituhumu wengi, pia akajisahau ye mwenyewe ni chanzo kwa namna flani.,.... Sad

Yule, yes yuleee. Ni anakupenda' hisia ila. Ni kama anatafuta gear ya kupita nayo.!! DK
Jmn msikazie sana watu, mnaumiza wengine.

Anyways
Nahitajika kwa muhindi
Dear

Sisi ni binadamu na tunakosea kwa maana hakuna aliye mkamilifu. Najua ile siku wakati tunakusema humu uliumia na ulijisikia vibaya kwa kuwa ulisingiziwa.

Binafsi naomba nisamehe kwa kukusingizia kuhusu ile ishu. Nakiri kuwa mimi ndiye mwenye makosa kwa kukutuhumu na kukusema vibaya na kukaa kimya pia.

Na niliona nikae kimya kwa sababu nilihisi kama ningeongea tena ningezua ugomvi mwingine mkubwa zaidi. Haya yote chanzo ni mimi wala asilaumiwe mtu mwingine yeyote.

Once again im very sorry. Naomba nisamehe yaishe.

 
IMG_20211018_164902_871~2.jpg
 
Back
Top Bottom