Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,201
Hamjui wazazi huwa hawaambiwi ukweli? Nani anawaharibu?Tunasema tu ukweli jamani
Hamjui wazazi huwa hawaambiwi ukweli? Nani anawaharibu?Tunasema tu ukweli jamani
DearAngekuwa mpole angepata list nzima+ kisababishi.
Tatizo alituhumu wengi, pia akajisahau ye mwenyewe ni chanzo kwa namna flani.,.... Sad
Yule, yes yuleee. Ni anakupenda' hisia ila. Ni kama anatafuta gear ya kupita nayo.!! DK
Jmn msikazie sana watu, mnaumiza wengine.
Anyways![]()
Nahitajika kwa muhindi![]()



Mkuu unataka tu nitaje kwamba huyo ni msukuma ili nionekane mchokozi, na sitaji sasa.




hapana mkuu, huyo ni mwanafyale kabisa


Waow ,Siku hizi ni coach wa Rangers ya Scotland. Amehusishwa (tetesi) na kazi ya kuinoa Newcastle pia recently.
Nikuite nani?Asante. Sasa usiniite boss maana hapo wewe unakuwa ume submit kuwa ni subordinate wangu kitu ambacho mimi sikitaki. Mimi na wewe ni sawa.

Ulituahidi picha leo ?Apenda watu
Anipenda
Sikilizeni
Furaha yangu
Anipenda
Haleluya
Mungu ni pendoView attachment 1994880
Sent using Jamii Forums mobile app