Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Nilikuwa nataka niicrop zaidi ibaki kivuli 😁😁
Nilikuwa nataka niicrop zaidi ibaki kivuli 😁😁
Wacha bwana!! Hicho kinywaji ndo sijakielewa🤔
Wanapoteza tu muda wao ambao wangefanya vitu productive
Ni utoto mno mi sijali hata robo yaani hata wakipata na ya uchi wasambaze tu







Itoe hiyo Shem mtakatifu 😁😁
I am here darling...😉Hayo ndo maneno sasa.darling Jack Palladino
Wea a yu
Hapa natafakari ulikuwa na nani hapo... weekend, naomba mualiko..popote ulipo!!View attachment 1991691



Hapana asiirudie, hii mpya ndio tamu.Duh,irudishe tu ile ile.
Nilishakuzoea vileView attachment 1991789
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie watoto adabu hakuna kabisa! Mnanisengenya kweli?Ndiyo maana bi mkubwa anajifanya haoni "upare" wake; kumbeeee
Kichwa kama mbegu ya ubuyuNiambie huyo ulomweka anaitwaje...nipo hapa nasubiri, au ndio Maki mwenyewe nianze kumsaliti mdogo wako?![]()

Eti jamani

Kichwa kama cha baba yako!Haha bi mdash atazunguruka kote ila hapo atarudi aisee![]()
Mbona hukunistua jamaniHii weekend ya leo; imekuwa ya moto sana jamani


Umekuja na moto sana, weekend ulikuwa wapi??Hapa natafakari ulikuwa na nani hapo![]()