Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,619
na filter zao
Wakiitwa wanakuja na masweta ya Tanzania mixer na masuruali bwangamawardat
View attachment 1993983




vile mkitoka kuoga ndo mnavutiana filter zao
Wakiitwa wanakuja na masweta ya Tanzania mixer na masuruali bwangamawardat
View attachment 1993983




vile mkitoka kuoga ndo mnavutiaJamani jamaniWengine wanataka tuwe natural ili kupunguza competition .
Anaona kama ataporwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mkaka ana dhambi snavile mkitoka kuoga ndo mnavutia
Twin kishimo.
Natural hair siku hizi styles ni nyingi, uki+ na eco gel/ styling gel mambo yanakuwa![]()
kishimo cha kutumiwa nauli
Uhair kama wote .Sipendi kusuka nywele nying Maana mie ni mvivu kukaai,yaani nimesuka nyingi ni tano,,,,,,napeneda nywele 2,nikichoka kusuka nazibana tu ata mwezi zinakuwa safi japo hazina dawaView attachment 1994000View attachment 1994002View attachment 1994003
Wewe huyo sasaIli nikamsifu MUNGU jumla jumla
Naachana kabisa na habari za dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendi kusuka nywele nying Maana mie ni mvivu kukaai,yaani nimesuka nyingi ni tano,,,,,,napeneda nywele 2,nikichoka kusuka nazibana tu ata mwezi zinakuwa safi japo hazina dawaView attachment 1994000View attachment 1994002View attachment 1994003




Wewe huyo sasa


Kuna ile diclopar ya kuchua,ni nzuri sana kwa kupunguza maumivu.Dah pole yake wengine huwa wanakanda na maji ya moto huwa inasaidia kupunguza maumivu na kunywa Panadol pia .
Ndo ukute hujainunua sasa , dah urembo huu .
Ni kweli
Unapendeza sana.
Hata mimi kipindi nasuka nilikuwa nabana hata mwezi,,
Ila kuzibana muda mrefu ni kama zinarudi nyuma(zinafupika)
Sent using Jamii Forums mobile app

NiisogezeMkuu sio kwamba emoji imejisogeza vibaya![]()
Hizi mbili kichwa aliyekusuka amekupatia .Sipendi kusuka nywele nying Maana mie ni mvivu kukaai,yaani nimesuka nyingi ni tano,,,,,,napeneda nywele 2,nikichoka kusuka nazibana tu ata mwezi zinakuwa safi japo hazina dawaView attachment 1994000View attachment 1994002View attachment 1994003
Ndo ukute hujainunua sasa , dah urembo huu .


hakuna kufa mtu, twala kibabe na hatufi.Ukimwi upo na unaua