Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,756
Ni wapi hapo
AlipitaNi wapi hapo?
Ni wapi hapo
AlipitaNi wapi hapo?
Fanya basi kumshawishi anikubali ntakupa zawadi nzuriii. 😊😊Yeboooo 🧚♀️🧚♀️🧚♀️👊🏿👊🏿👊🏿
Mkuu unataka tu nitaje kwamba huyo ni msukuma ili nionekane mchokozi, na sitaji sasa.
Dawa ya kopo
Steaming......Nilifanyiaga mara moja tu kwa majani ya maperanywele zilinywea balaa vilikuwa vidogo
Tokea hapo sijawahi kufanyia tena,natumia tu mafuta ya nazi ya maji,hivyo nikitumia Mafuta ya mgando kwaajili ya nywele huwa zinakatika Sana.
Niliambiwa 😂 okra streaming nikajaribu. Haikunisaliti ila ule utelezi ptuuu 🤮Una nywele nzuri asilia hazihitaji mambo mengi .
Steaming ya bamia ni nzuri pia siku ukipenda
Utelezi balaaNiliambiwa 😂 okra streaming nikajaribu. Haikunisaliti ila ule utelezi ptuuu 🤮
Nilivyosoma nikadhani ni ule utelezi...Niliambiwaokra streaming nikajaribu. Haikunisaliti ila ule utelezi ptuuu
![]()

Una utani wewe, K isambazwe kizembe hutajisijkia vibaya? Wenzako wanafikia kujiua. Hakuna kitu mbaya kama kudhalilishwa.Wanapoteza tu muda wao ambao wangefanya vitu productive
Ni utoto mno mi sijali hata robo yaani hata wakipata na ya uchi wasambaze tu
Una utani wewe, K isambazwe kizembe hutajisijkia vibaya? Wenzako wanafikia kujiua. Hakuna kitu mbaya kama kudhalilishwa.
Kumbe we ni Ke?Ooh zinauma jamani hizi nywele .
Natamani nisuke knotless braid ila nawaza nywele kukatika .




NdioKumbe we ni Ke?
Ngoja nianze kukusarandia![]()
Ahsante,,,ya bamia unatumiaje?,nielekezeUna nywele nzuri asilia hazihitaji mambo mengi .
Steaming ya bamia ni nzuri pia siku ukipenda
UteleziNiliambiwaokra streaming nikajaribu. Haikunisaliti ila ule utelezi ptuuu
![]()

Hehehe ndiwooo 😂Utelezi![]()
Katakata mabamia loweka kidogo na maji. 'Sikumbuki kama yanachemshwa or not.Ahsante,,,ya bamia unatumiaje?,nielekeze
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asubuhi yote hii?Nilivyosoma nikadhani ni ule utelezi...![]()
Beautiful!Shughuli ya bamia
Inajaza..
Hapa zilikuwa zimekatiwa ile ya kishule kabisa.
mawardat
View attachment 1994247

Hakuna mda maalum mkuu!asubuhi yote hii?