Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Swali la mbolea hili ndugu yangu. Acha tuendeleze uzao wa machogo, vijukuu vya Kambarage si mchezo huwezi linganisha na vizazi vingine. Mfano tembelea tu hapo kwa vijukuu vya Moi sijaona bado na niliondoka na utamu wangu.
 
JF hii imebarikiwa sana aisee. Naamini kuanzia sasa nyuzi za kuponda mabinti wa JF kuwa ni wabaya hawana shape zitakuwa zimekufa rasmi. Ashukuriwe mlozi Mshana Jr kuanzisha uzi huu. Hata wanaotafuta wenza washindwe wenyewe tu. Na hapa unaweza kufuatilia mtu anavyoposti na kujibizana na watu ukapata fununu ya tabia zake na misimamo yake. Kwa neema ya Mungu uzi huu utazaa ndoa aisee
 
Shauri yako... Utapishana na gari ya mshahara ujueView attachment 1217177
Bado nakula bata mshahara....
FB_IMG_1570155687507.jpeg
FB_IMG_1570155585832.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20190930_224429.jpeg
    IMG_20190930_224429.jpeg
    63.1 KB · Views: 18
Umeshinda mama
Sifikii hata nusuuView attachment 1223007
Mh jf imeficha vitu vizuri
Sijavuta.
Imetuna kwa kuwa nimekaa.
Hipsi Sina kabisaView attachment 1223014
Jana nilipitwa mengi sana, picha niliyokuwa nimetengeneza kichwani mwangu kwa warembo hawa ni halisi. You are gorgeous
Hapa mahari kiasi chochote nikitajiwa natoa.
Kugeuka utapambana na depal.
Mimi mpambano wangu nishashindwa
Umenizidi.
Wewe una tumbo dogo na mwili mkubwa.
Mimi dogo kwa sababu ya mwili mdogoView attachment 1223030
 
Back
Top Bottom