Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Aise daah kweli upele humuota asie na kuchaMimi sijui popote zaidi ya chuo na stand.
Hata huko msalato kwenye nyama choma sijawahi Kwenda.
Mipango na St John's nimeenda Mara 1 Napo ilikua kanisani.
Ukinambia Rudi pekeyako Wala siwezi kufika






