Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Id gani tena hiyo mkuu??Napata hisia zisizokoma kama ulikuwa na ID inayoanza na D
Id gani tena hiyo mkuu??Napata hisia zisizokoma kama ulikuwa na ID inayoanza na D
Nikipambana kuwa na siksi paki utanifikiria? Unajua hata wale ng'ombe bado wamenidodeaNa ukimbaombao huu nakuwaje kisu!?
Acha matusi.
Wenye six packs kina Lizarazu visu vyao vipo kule juu![]()



Vipi kwani na wewe ulishafuga kitambi??Nikipambana kuwa na siksi paki utanifikiria? Unajua hata wale ng'ombe bado wamenidodea
Ila kuwa na siksi paki kama za huyo ngosha mwenzangu itachukua muda sana wallahi
Nikuone basi hata kifua tu roho yangu ifarijike 🙇Nikipambana kuwa na siksi paki utanifikiria? Unajua hata wale ng'ombe bado wamenidodea
Ila kuwa na siksi paki kama za huyo ngosha mwenzangu itachukua muda sana wallahi
Mzima?Hauonekani kiurahisi, hadi uwe na macho ya rohoni






kama hivi ulivyo hujipendi Sasa ukianza jipenda itakuwaje![]()
Dah.. Three hours ago.... Poa
product za ifm zinajulikana tu
Sasa naelewa how u are not single single![]()
Wewe huyo
Yeah, wewe?Mzima?
product za ifm zinajulikana tu
Hizo nazo ni amsha amsha uwe unaacha zitokee kidogo.kuna chemistry formula ilikataa kidogo ila nshaweka mambo sawa sasa