Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na ukimbaombao huu nakuwaje kisu!?
Acha matusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Wenye six packs kina Lizarazu visu vyao vipo kule juu[emoji1787][emoji1787]
Nikipambana kuwa na siksi paki utanifikiria? Unajua hata wale ng'ombe bado wamenidodea [emoji16][emoji16][emoji16]

Ila kuwa na siksi paki kama za huyo ngosha mwenzangu itachukua muda sana wallahi
 
Naomba tu kuwakumbusha wale ambao Jana tulipitisha muda wa kula bila kujua.. It's lunch time.!!
. [emoji23][emoji23]
IMG-20191003-WA0097.jpeg
 
Naona hapa Uzi ulienda kusikojulikana...ukachepuka njia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana Jr Kaka vipi ulizidisha kupuliza dawa Nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jamani tupieni picha tusafishe macho...maisha yenyewe haya haya
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna watu huku ni vivuruge.
 
Back
Top Bottom