Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Break
IMG20210711113259.jpg
 
Mbinga ndugu,now wapo bei juu.kisado sh.elfu 14,Si unajua hali ya hewa si rafiki.
Ooooh kumbe wee ni wa huko, mie kwetu Songea 1, dagaa watamu hao hatari, mie mbinga ni mpitaji tyuuh, nimepita had tingi, liparamba, mipoto poto, nmekuja kutokea mitomoni,

Nikavuka nikaingia mocambique, nimevuruga congress, mianzini, nakaguruwe, tulo, nikazama hadi lichinga, sema nilitaman nielekee nampula, ila trip ili bounce nkarud home Tz.

"Vamshi mbola" hapo ujue kimeumana
Ila mocambique kwa vita hawaajambo lol.
 
Twenzetu Kigoma na Treni ya Deluxe kucheki mechi ya SIMBA na YANGA

TRC ikishirikiana na Clouds Media Group wamekuandalia safari kuelekea Kigoma siku ya Ijumaa jioni trh 23/July na kugeuza J2 usiku trh 25/July baada ya mechi kuisha.

Twende ukashuhudie watani wa jadi wakiminyana katika ardhi ya Kigoma.

Gharama ni
Third Class 100,000/=
Second sitting 120,000/=
Second Sleeping 150,000/=

Gharama hizo zitahusisha Nauli ya kwenda na kurudi, kiingilio uwanjani na Burudani wakati wa safari.Njoo uone Behewa linapokuwa NIGHT CLUB wkt wote wa safari.

Kwa mawasiliano zaidi piga Simu ya Shirika No 0800110042. TRC Karibu tukuhudumie.


Sent using Jamii Forums mobile app
Safi hii
 
Ni kweli ajari ni mbaya sana, kaka angu aliwahi pata na maswahibu haya,
Alikua analia km mtoto mdogo, akati ni mtu mzima mwenye familia.
Naogopa sana ajari mie, poleeeeh san cc japo imepita.
Pole yake.
Bora hata mimi nilikuwa mdogo mdogo kipindi hicho 15+.
Nilikuwa sioni shida kabisa kulia,huku kichwa kinawaka Moto,huku mguu,huku mgongo mara kiuno, huku mkono ,,hapo nime exclude michubuko midogo midogo ya rejareja,,,hiyo combination ya maumivu.
Ile gari almanusura iondoke na kiganja changu chote Cha mguu.
 
Back
Top Bottom