T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,092
Natumia mkono wa kushoto kuandika mkuuKwema, unatype vipi na mkono huo mzee?
Natumia mkono wa kushoto kuandika mkuuKwema, unatype vipi na mkono huo mzee?
Amina mpendwa wangu KarmaPole sana mkuu
Mungu atakuponya amini
And you will be one among the living testimonies
Vizuri sana kama ni kwemaKwema sana mkuu..Mungu ni mwema!
Ugua pole mkuu! Upone haraka...Natumia mkono wa kushoto kuandika mkuu
Natumia mkono wa kushoto kuandika mkuu
Ni kweli ajari ni mbaya sana, kaka angu aliwahi pata na maswahibu haya,Siku ya kusafisha vidonda nililia kilio kikuu utadhani nimeangikwa msalabani kama Yesu.
Niliapa nitakuja kusaidia wale wote watakaopata maswahibu kama yaliyonikuta.
Ni miaka imepita sasa,
Ila vidonda vinauma aiseeee,tena vya ajalimaana havina mpangilio ,vinahakikisha haulali usingizi kabisa
..kuna muda vinapambana kuuma ili mradi tu ulie
Mimi namuelewa sana,
Kuna muda vitamuuma hadi anaweza pata wasiwasi,lakini atapona hataamini, mwenyewe atashangaa.
Ooh ni mafuta mazuri sana haya,nimeyatumia sana.Kwemaa polee hope medical umepata msaada.
But tafuta haya mafuta ili upone haraka usipuuzeView attachment 1848466
Naam hakika umeona yanavopoza.Ooh ni mafuta mazuri sana haya,nimeyatumia sana.
Kwema ndugu,vipi wewe?Naam hakika umeona yanavopoza.
Kwema lakini.
Habarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
Nipo buheri kabisaKwema ndugu,vipi wewe?
Duh! Jamani usijali,nimekukumbuka leo.Nipo buheri kabisa
Ila punguza kunisusa .
Ahsante hope nitakuwa na amani leoDuh! Jamani usijali,nimekukumbuka leo.
mkuu pole sanaa.. Mungu akujalie wepesi upone harakaHabarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
Leo naona haupo bizeAhsante hope nitakuwa na amani leo

Sahihi na nilivozoea inabidi unichatishe adi alifajirLeo naona haupo bize![]()



Sahihi na nilivozoea inabidi unichatishe adi alifajir![]()
utaweza??Sasa je karibuutaweza??

Sasa je karibu![]()
usije niacha kwenye mataa.